HapanaUnataka kumwekea myu sumu kwenye maziwa ehView attachment 3200048
Bro, kama itakupendeza jitolee kwa jaribio la mfano.Tupate member mmoja wa mfano labda.....
Una maanisha nini?Hayatamfanya chochote.
Hakuna lolote litalalompata huyo atakayekunywa hayo maziwaUna maanisha nini?
Ndio, Jaribu tu kidogo uoneUkiwa na maana hiyo sumu haiwezi kuleta mazara yoyote kwa mtu huyo
Mi niwe mchanganya sumu broBro, kama itakupendeza jitolee kwa jaribio la mfano.