Ninyi viongozi wa umma mnaochapa watu viboko mnawachapa kwa mamlaka gani?

Ninyi viongozi wa umma mnaochapa watu viboko mnawachapa kwa mamlaka gani?

Kweli kabisa.

Hawako madarakani kwa kura halali za wananchi bali kwa nguvu ya dola, hivyo lazima watawale kwa shuruti na kuwadhalilisha wananchi. Isitoshe hiyo mahakama wameshainajisi hata wao hawana imani nayo tena, maana wamejua mahakama haina meno, hivyo wanajichukulia sheria mkononi kutokana na kuwa na madaraka ya kulevya. Hayo ndio madhara ya kuwa na serikali isiyo na ridhaa ya wananchi.
 
Hawako madarakani kwa kura halali za wananchi bali kwa nguvu ya dola, hivyo lazima watawale kwa shuruti na kuwadhalilisha wananchi. Isitoshe hiyo mahakama wameshainajisi hata wao hawana imani nayo tena, maana wamejua mahakama haina meno, hivyo wanajichukulia sheria mkononi kutokana na kuwa na madaraka ya kulevya. Hayo ndio madhara ya kuwa na serikali isiyo na ridhaa ya wananchi.
Dah!
 
Watawala wa sasa wanasema kuwapeleka watu mahakamani ni kupoteza muda na rasilimali.
 
Watanzania sasa wanaswagwa kama wanyama. Viboko ndio stahili yao.
 
Unataka kusema Katiba ya JMT haina kazi?
Ndio.
Chini ya utawala wa awamu ya tano, Katiba ya JMT ni upuuzi mtupu.
Mzee Meko toka 2015 alipoingia madarakani alisema yeye ndio kila kitu, ni zaidi ya katiba, bunge na mahakama. Anachotaka ndio kifanyike, na asichokitaka kisifanyike.

Sasa ni mwendo wa viboko tu.
 
Ndio.
Chini ya utawala wa awamu ya tano, Katiba ya JMT ni upuuzi mtupu.
Mzee Meko toka 2015 alipoingia madarakani alisema yeye ndio kila kitu, ni zaidi ya katiba, bunge na mahakama. Anachotaka ndio kifanyike, na asichokitaka kisifanyike.

Sasa ni mwendo wa viboko tu.
Acha utoto.
 
Acha kupost upuuzi
Mimi napost ukweli ambao unaniuma sana. Katika karne hii, hata mnyama hapaswi kuchapwa viboko hadharani (maana kuna watetezi wa wanyama), lakini leo hii watanzania wanachapwa viboko hadharani na watawala, na watu tumekaa kimya au kulalamika kimya kimya mitandaoni. Nini tofauti yetu sisi watanzania na wanyama?

Watawala wametufanya sisi ni wanyama kwa kututandika viboko hadharani, na sisi tumelikubali hilo!
 
Acha utoto.
Utoto uko wapi hapo?
Huo ndio ukweli.
Chini ya utawala wa awamu ya tano, katiba ni upuuzi mtupu. Haina maana wala nafasi. Mzee Meko anatosha sana!

Wacha tuendelee kutandikwa vizuri viboko ili akili zitukae.
 
Kuna stori ya Mhehe mmoja zamani wakati wa Mwalimu Nyerere akiitwa Mwamwindi Ismani huko Iringa aliua sijui RC au DC yule Kleruu sababu ya kuaibishana au kuleteana dharau eti sababu tu ya ukubwa na madaraka.
Kama hili halitarekebishwa basi mfano unakuja.
 
Mi naona waendelee kupigwa mboko tu....wabongo hawasikii na wala hawaelewi...

kama walishindwa kumwelewa LISSU na hoja zote zile,...ngoja watandikwe viboko tu...hamna namn kwa kweli
 
mwamindi ndo nan
Shujaa mwakilishi wa wanyonge. Mpinga uonevu wa viongozi wenye majigambo na tabia ya kudhalilisha watu. Huyu alimtandika risasi na kumuua Dr Kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa miaka hiyo ya 1970s baada ya kudhalilishwa na RC huyo mbele ya wake zake tena siku ya sikukuu ya Krismasi.
 
Back
Top Bottom