GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Hivi huko Tanganyika kwani mna sheria? si nasikiaga mnapewa "miongozo" na magufuli?
Yale matamko mbalimbali na AMRI za hapa na pale haziwatoshi tu?
By the way sheria za nini wakati mko na bulldoza jembe la majembe!?
Watanganyika kwa malalamiko hamjambo!
Yale matamko mbalimbali na AMRI za hapa na pale haziwatoshi tu?
By the way sheria za nini wakati mko na bulldoza jembe la majembe!?
Watanganyika kwa malalamiko hamjambo!