Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Ni wazuri KWA nyumba watoto wananyooka sababu wao ni jeshi pili huwa hawakimbiii nyumba utakimbia wewe hata kuwe na dhoruba vipi hata ukikimbia utakuta hawayumbi na watoto wapo strong,ni wapambanaji shida ni discipline sifuri yaani ni wababe thus utulizwa na panga rungu.Kutokuwa romantic hawana time na kuchepuka,wao ni Kazi Kazi tu.
Kuchepuka wanachepuka sana tu!
Tena ile mbaya! Usipime [emoji108]