Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Ndiyo na bahati yako, uko nyuma ya keyboard tungekughecha wewe. Ukabaki na alama kila uendako.
Kwa nin tufikie kwenye kughechana ilhali inawezekana tukakaa chin na kunifahamisha kuhusu ukurya na wakurya


Unaonaje tukilifanyia kaz hilo wazo
 
Mwanamke aliyekuwa na Marehemu kwenye pikipiki anaweza kutoa ushahidi wa kusaidia maana aliwaona mbali ya kwamba na yeye alipelekwa vichakani. Hawa ni Wahuni maana siku hiyo walijeruhi zaidi ya watu 5.
Angalau wewe unaweza sema. Sijui wale panya road tena vitoto vidogo navyo ni vikurya, wanaume wa dar wana wivu hadi kwa wanaume wenzao
 
Kwa nin tufikie kwenye kughechana ilhali inawezekana tukakaa chin na kunifahamisha kuhusu ukurya na wakurya


Unaonaje tukilifanyia kaz hilo wazo
Nawewe kwanini ulitutukana? Hukujua kuna njia ya kujua ukweli kwanza kabla ya kudhalilisha Mama na dada za watu wengine? Mnaanza nyinyi, tukijibu mashambulizi Wakurya wabaya. Tujaribu kuheshimu kila mtu.
 
It is very painful
Huku Mademu ndo tatizo. Ukifika Cha Kwanza ni hilo kuambiwa! So ukitaka kuepuka Majanga kaa mbali na Mademu
 
Nawewe kwanini ulitutukana? Hukujua kuna njia ya kujua ukweli kwanza kabla ya kudhalilisha Mama na dada za watu wengine? Mnaanza nyinyi, tukijibu mashambulizi Wakurya wabaya. Tujaribu kuheshimu kila mtu.
Na ndio maana nataka tukutane ili tuwekane sawa
 
Ndugu yangu uongo ama hearsay vinaweza kuifanya nia yako njema ya kuuhabarisha umma igeuke chuki.

Huyu daktari alikuwa anaishi kituo cha kazi na muda wa tukio ni kati ya saa 4_5 usiku (sio saa nane kama ulivyoandika na eneo la tukio ni zaidi ya 2km kutoka kituo cha kazi). Dk alikuwa ameshamaliza majukumu yake ya kikazi

Kuna mahali nimeskia alikua anasimamia vituo vitatu, je hilo lina ukweli?

Kama ni kweli, je Kati ya hivyo vituo hakuna kilichopo uelekeo wa huko alipokua anaenda huo usiku?
 
Huku nyamongo, kuna shida kubwa sana, ndani ya mwaka huu, wameshauawa watu zaidi ya kumi,kuna dada alikutwa amepigwa risasi, kuna wengine wawili walichomwa na visu kwenye uke katika matukio tofauti,wakafa kwa kupoteza damu nyingi.. kuna mwingine aliuliwa mgodini kwa kupigwa risasi, kuna mwingine alikutwa amejinyonga, lakini watu wanasema kuwa alipigwa na mume wake mpaka akafa,.. kuna wengine waliuliwa wawili kwa wakati mmoja.... Kuna mwingine aliuliwa kwa kusingiziwa kuwa ni mwizi, kumbe hakuwa mwizi..... Na katika matukio hayo yote ni mawili tu, watu walikamatwa, na walikamatwa kwa sababu za kisiasa, vinginevyo wangekuwa mtaani...
Watoto wa kike wanatahiriwa, na watu wanafanya sherehe adharani, hamna polisi anayewakamata..huku, kutembea na bastola ni ubishoo, kwa hiyo matumizi ya silaha ni ya kiholela kabisa
Polisi wapo, lakini RUSHWA ndio imewatawala,,, yaani huku wageni tunaishi kama tupo sudani, au afriganistani,.. so sad kwa kweli
 
Kisa? Mnaweza kutatua matatizo katika jamii bila kuuana na kuua binadamu wenzio
Huyo namtania hapa. Soma comments zake alidhalilisha wanawake wa Kikurya. Badala ya kuongelea mauaji.
Upelelezi umefanyika? Wakurya ndiyo wameua?

Bahati nzuri my bro sasa ni IGP na ni from Nyamongo, watakamatwa wauaji. Kuua mtu mwingine si sawa. Hao wameiba na kubaka, huenda ni majambazi ama vibaka kama wa mikoa mingine.
 
Mimi ni miongoni mwa walioshuhudia tukio na hata kuaga mwili mkuu. Hata ukitaka proof ya picha za maeneo ya tukio utapata. Nina uhakika 100% na hiki nilichoandika
Pimbi wewe ulishuhudia kwa macho yako wakati akikatwa na kupigwa
 
Wanawake wa kikurya nawaonaga ngoma ngumu sana

Na huwa nashangaa zaid ninaposikia habar za mgen kuchukua wake za watu huko ukurian
Kanuni ni hii kwa mtazamo wangu...usizoeane na mwanamke yoyote mpaka ukapitiliza coz mwisho wake anageuka kuwa mzuri kwako na utaona anafaa kwa matumizi japo sio lazima ...ni general idea
 
Mkuriya kuua kwake ni ushujaa
Mfumo wao wa malezi sio mzuri watoto wanalelewa kwenye mfumo wa vurugu, matumizi mengi ya nguvu kuliko akili so wanakua wakiamini changamoto utatuliwa kwa kutumia nguvu na sio akili thus hata ukimshinda mwaka huu iwe kwa hoja au kipigo anatunza kisasi ni lazima atakuvizia kesho akutoe damu Ili hasira zake ziishe.
Wote waliojaa kitunda wazazi wao wengi ni kizazi cha waliokimbia matukio ya umwagaji damu Tarime kupitia wizi, mapigano ya koo, nk.
Watoto wanaexpirience wazazi kila siku ni ngumi, vurugu, matusi, ubabe, nk na watoto wanakuwa katika misingi hio hio. So akioa au olewa bila vurugu ndoa hainogi.
Angalau siku hizi elimu, dini na police kanda maalumu inawashape kupunguza hayo ma spirit ya ugomvi. Ukipiga mke kama zamani jela inakuhusu, ukileta ubabe ukorofi kuvunja amani unakula chuma, angalau wanapata akili siku hizi, Tarime ya SAsa ni shwali ya zamani watumishi waliona bora waache Kazi na sio kuhamishia Tarime au Kigoma KG ilikuwa ni ishu ya uchawi na umbali.
 
Hata kama kuna kitu,kwa nini umuuwe mwenzako.Kusameheana ni bora kuliko,kufanyiana mambo mabaya.Huyu daktari amesaidia wangapi,na pia kumbuka wapo wanaomtegemea kimaisha.
Akili hio unayo wewe,kuua mtu ni upumbavu kwani nawe utadumu milele?
 
Nina ndugu yangu mpaka Leo ana alama ya memo ya aliyekuwa mke wake ambaye ni mkurya
Kama sio mafia achana nao KWA faida ya afya ya amani ya moyo wako.
Tumewaoa hao shughuli yao pevu, hawataki mwanaume diplomatic, wanataka uwe primitives ndo mtaenda sawa.
Lakini kama umesoma na unamjua Mungu achana nao labda tu uchunguze sana mfumo wake wa malezi upoje, wazazi wake wapoje na hawana connection na spirit za kabila lao.
Wapo wengi tu the best ambao wamejidisconnet na mizimu ya kabila hilo.Kujidisconnect ni kutokuwa na tabia au kutorithi tabia za kabila lako.
Kila kabila linatabia zake zinazofanana,mfanano wa tabia ufanywa na mizimu ya kabila husika.
 
Back
Top Bottom