Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Mkuu huu ndo ukweli halisi ambao wengi hawaujui.

Na mimi nimepata fursa ya kufatilia hii habari kwa kina kutoka kwa source ya ndani kabisa. Kama ulivyosema ni busara zaidi kutozungumza mambo mengine ni Personal.

Tangulia ndugu yetu, tutaonana badae.
Mkuu,

Mazishi yalifanyika wapi?
 
Wana hasira za ovyo ovyo sana ! Hao jamaa wakikasirika huwa hawawezi kujizuia ! Ni ulemavu wa hali ya juu
 
Umekaririshwa vibaya. Na huwajui wakurya itakuwa. Kila kabila ina wale watu wako kijijini na hali fulani. Ila pia kuna visu balaa, uliza waliokuwa na wakurya wakuambie.
Kuna mmoja wetu humu katoa ushuhuda lkn anasisitiza lazima awe chotara
 
Ila why hili kabila linawatu makatili sana,ukisikia wametajwa tu ujue mauaji,inasikitisha sana!
 
Hebu weka picha zao tuone wanafananaje
Mletee utani uone
IMG_20230506_191620.jpg
 
Wanawake wa kikurya nawaonaga ngoma ngumu sana

Na huwa nashangaa zaid ninaposikia habar za mgen kuchukua wake za watu huko ukurian
Wanawake wa kikuriya walio olewa hawakataagi wanapo tongozwa ingawa wanajua kuwa wakifumwa na waume zao watauawa au kukatwa viungo malaya kama nini pamoja na kukeketwa kwao
 
Nilikuwa na baby mkurya aisee ana hasira jambo dogo anaanza kuunguruma kama Simba na hivi wamelelewa kuona mwanamke si kitu ilikuwa hatari aisee I have to let go huyo kukuua ni dakika sifuri
Nakuelewa, sana...kuna jamaa mmoja ni Msomi kabisa na anaishi DSM ni Mkurya, yaani mambo yake anavyoyapeleka utasema hajasoma

Hataki simu ya Mkewe (Dada yetu) iwe na namba za Wanaume wengine zaidi ya yakwake na ya Baba Mkwe wake.

Sasa inamaana Dada hana Workmates wa kiume? Classmates zake? Ndugu wengine?

Daah, hawa jamaa hatari sana
 
Ndio Sasa ka huyo daktari ukute wanawake walikuwa Wana mshobokea wanaume wakikurya wakaona wivu solution ikawa kumuua kikatili
Vijana wa kikuriya washamba wakiona uchukua mademu tena ambao hawajaolewa machengo doa lazima wakukate na panga tu
 
Back
Top Bottom