Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Hahahaa Wanatumatako au sioWanatumatako fulani hivi tukiwekwa kwenye skin jeans au tukijaladiwa kwenye skin tight unaelewa namaanisha nini,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa Wanatumatako au sioWanatumatako fulani hivi tukiwekwa kwenye skin jeans au tukijaladiwa kwenye skin tight unaelewa namaanisha nini,
Yeas mkuu,Hahahaa Wanatumatako au sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah huko sio Kwa kuishiKama ulishakaa huko usipokuwa makini wanakumaliza .Mademu wa kikurya wanapenda wageni sana.
Umekaririshwa vibaya. Na huwajui wakurya itakuwa. Kila kabila ina wale watu wako kijijini na hali fulani. Ila pia kuna visu balaa, uliza waliokuwa na wakurya wakuambie.Wanawake wa kikurya nawaonaga ngoma ngumu sana
Na huwa nashangaa zaid ninaposikia habar za mgen kuchukua wake za watu huko ukurian
Jamani, Mungu anisaidie na mimi nisije nikauawa. Maana napenda maku ile mbaya yaani!Anaonekana anapenda maku sana...duuh RIP
Hali yake ya kimahusiano ilikuwaje? (Nje ya mada lakini)
Mwaka gani?Nyamongo waliwahi muua mzungu mmoja hivi mlafi wa wake za watu
Kama unapenda wake za watu..usisahau kutupa picha yako tutaitumia kuiweka statusJamani, Mungu anisaidie na mimi nisije nikauawa. Maana napenda maku ile mbaya yaani!
Nitakughecha wewe, hivi mtani ndiyo ukatuchukia kimoja. Wakurya mwezi wetu haswa wa Nyamongo, haki hakuna rangi tutaacha kuona.Wanaume wa kikurya wakorofi sana watani zangu hawa.
Mdogo wangu Kokulila akaona isiwe tabu akakimbia. Mwanaume ana pesa lakini mkono mwepesi. Akaona atakuja kuniua huyu mbwa akarudi nyumbani.
Mi wake za watu hapana. Napitaga vibinti chuchu konzi, hapa nilipo nawasubiri hawa wanaofanya paper ndani ya hizi wiki mbili.Kama unapenda wake za watu..usisahau kutupa picha yako tutaitumia kuiweka status
Kma unapenda wanafunzi pia ukiletwa au ukihamishiwa Butimba unijuze ,ntakuja kukutembelea na vitabu nikuelezee juu ya Biblia na SabatoMi wake za watu hapana. Napitaga vibinti chuchu konzi, hapa nilipo nawasubiri hawa wanaofanya paper ndani ya hizi wiki mbili.
Mjinga Baba akoWale ni wajinga,waache huo ujinga wao.
😆😂🤣 Sabato ya kweli siyo?Kma unapenda wanafunzi pia ukiletwa au ukihamishiwa Butimba unijuze ,ntakuja kukutembelea na vitabu nikuelezee juu ya Biblia na Sabato
Naam Sabato ya Bwana.😆😂🤣 Sabato ya kweli siyo?
Ehee Wa mbulu wamekufanyia nini mkuu?Wakurya na Wa Mbulu Huwa wanahasira za kijinga jinga
Hahaha.Nitakughecha wewe, hivi mtani ndiyo ukatuchukia kimoja. Wakurya mwezi wetu haswa wa Nyamongo, haki hakuna rangi tutaacha kuona.
Watu wanajiongelea hapa hawawajui Wakurya, wanasikia story za vijiweni wanakuja kutapika hapa.
Kuna rafiki yangu mkaka Msukuma kijana tu, ni Hakimu kule hawajamuua tena kameoa mwaka jana mwishoni.
Mtu wanaambiwa Dr kaibiwa na pikipiki, pia Nyamongo kuna kila kabila sababu ya mgodi. Uchunguzi wamesema ni Mkurya ndiyo kaua?