Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Ndio Sasa ka huyo daktari ukute wanawake walikuwa Wana mshobokea wanaume wakikurya wakaona wivu solution ikawa kumuua kikatili
Wanaume wa kikurya wakorofi sana watani zangu hawa.
Mdogo wangu Kokulila akaona isiwe tabu akakimbia. Mwanaume ana pesa lakini mkono mwepesi. Akaona atakuja kuniua huyu mbwa akarudi nyumbani.
 
Wanaume wa kikurya wakorofi sana watani zangu hawa.
Mdogo wangu Kokulila akaona isiwe tabu akakimbia. Mwanaume ana pesa lakini mkono mwepesi. Akaona atakuja kuniua huyu mbwa akarudi nyumbani.
Hata wanawake zao bila ngumi atakutia kidole machoni, wanawezana wao kwa wao kama wewe sio mwanajeshi utachemka.
Both Wana maspirit ya ukorofi na ugomvi
 
Hata wanawake zao bila ngumi atakutia kidole machoni, wanawezana wao kwa wao kama wewe sio mwanajeshi utachemka.
Both Wana maspirit ya ukorofi na ugomvi
Niliwahi date mmoja..demu alikua na shape kali. Lakini hayuko romantic kabisa aisee. Nilipiga chini. Ni kama unalazimisha mapenzi. Naona wao mapenzi ni kwa ajili ya kupatia watoto tu.

Wanafanya na watu wa Mara wa makabila mengine waonekane wana tabia kama zao. Kumbe kuna wazanaki, waikizu, wanata, wajita hawana hizo mambo. Sema tu ni watu hawapendi miyeyusho na kupelekwapelekwa.
 
Nyie wafanyabiashara Muuza Viat na Muuza Kangala mu Hali Gani? Kilimbatzz
Salama salmin
gettyimages-494936334-594x594.jpg
 
Niliwahi date mmoja..demu alikua na shape kali. Lakini hayuko romantic kabisa aisee. Nilipiga chini. Ni kama unalazimisha mapenzi. Naona wao mapenzi ni kwa ajili ya kupatia watoto tu.

Wanafanya na watu wa Mara wa makabila mengine waonekane wana tabia kama zao. Kumbe kuna wazanaki, waikizu, wanata, wajita hawana hizo mambo. Sema tu ni watu hawapendi miyeyusho na kupelekwapelekwa.

Ni wazuri KWA nyumba watoto wananyooka sababu wao ni jeshi pili huwa hawakimbiii nyumba utakimbia wewe hata kuwe na dhoruba vipi hata ukikimbia utakuta hawayumbi na watoto wapo strong,ni wapambanaji shida ni discipline sifuri yaani ni wababe thus utulizwa na panga rungu.Kutokuwa romantic hawana time na kuchepuka,wao ni Kazi Kazi tu.
 
Mkuria ukizinguana nae anakimbilia panga nyumbani hata kama nyumbani kwao ni kilometer 10+ atakimbia hadi akalichukue alaf ndo arud sasa dawa yake usimpe nafasi ya kukimbia mtandike hadi azimie ndo umuache
 
Back
Top Bottom