zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio nakwambia ukikutana na chotara hutosema hivyo, Nusu Mmanga Nusu Mkurya au Nusu Mnyaturu Nusu Mkurya tena hawa ndio balaa nilisoma na mmoja alikua ni black fulani wa kung'aa hivi alafu ana bonge la tako alipofika mwaka wa mwisho alipigwa mimba sasa hivi ana watoto wawili alafu kashaolewa,Tatizo wengi wao wanakua na sura za baba zao ha ha ha