Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?




Kuchepuka wanachepuka sana tu!

Tena ile mbaya! Usipime [emoji108]
 
Kufuatia tukio hilo, Wizara ya Afya imesema inafuatilia kwa kina na aitatoa taarifa rasmi.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Michael Mtenjele ambaye amekiri kuwepo kwa tukio hilo na kumtaka mwandishi kumtafuta baadaye jioni kwa ufafanuzi zaidi.

Siyo kawaida Polisi kuwa kimya kwenye matukio ya namna hii

Asimame DC wao wapo kimya
Wajitokeze Wizara usalama kimya!
 
Jamaa yawezekana alikua anakula wake za watu au mke wa mtu.Polisi wachunguze na watoe taarifa ya uchunguzi.


Hata kama ingekuwa ni kweli;

Kwani alikuwa anawabaka? Au ni kwa ridhaa ya mwanamke,?

Vipi iwapo mwanamke iwapo alimwambia hayuko kwenye uhusiano na Mwanaume kwa wakati huo ?

Je alikuwa anaondoka nazo akishakula hizo mbususu?


Elimu ya saikollojia ya mahusiano inahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…