[emoji1][emoji1][emoji1] dahHuna kazi ya kufanya nyingine zaidi ya hiyo..!?
Kwani hao wanaofanya kazi mwishowe sii ili wapate kukojolea pazuriHuna kazi ya kufanya nyingine zaidi ya hiyo..!?
huujui upweke,huwezi muelewa mama,wanawake hamjuagi tu tunavowahitaji,unakiangalia kitanda unamkumbuka mtu hadi unaamua kulala kwenye kochi yani akili yako inakwambia kama fulani hayupo hakuna kulala hapoHuna kazi ya kufanya nyingine zaidi ya hiyo..!?
Ni kwamba wanawake hukutani nao ama hukutani na unaowataka?Wakuu wa MMU habari za sasa,
Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.
Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.
Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.
Umri wangu ni 26.
Ndo afanye kwanza kazi,unatafuta shuka hata kipisi cha godoro huna...chaaa!!!!Kwani hao wanaofanya kazi mwishowe sii ili wapate kukojolea pazuri
Kumbe mnajua kuwa sisi tuna nafasi kubwa kwenye maisha yenu eee,.🤗huujui upweke,huwezi muelewa mama,wanawake hamjuagi tu tunavowahitaji,unakiangalia kitanda unamkumbuka mtu hadi unaamua kulala kwenye kochi yani akili yako inakwambia kama fulani hayupo hakuna kulala hapo
Nchi yetu kadri siku zinavyo songa mbele ndiyo vijana wa hovyo wanaongezeka badala ya kupunguaHuna kazi ya kufanya nyingine zaidi ya hiyo..!?
Halafu ana miaka 26 tuu Cole jamanii...Nchi yetu kadri siku zinavyo songa mbele ndiyo vijana wa hovyo wanaongezeka badala ya kupungua
Mpaka anajipanga kutafuta mchumba basi pesa anayo hivyo alishafanya kazi maana hamnaga mbususu ya bureNdo afanye kwanza kazi,unatafuta shuka hata kipisi cha godoro huna...chaaa!!!!
Tha' mbona hawapati..? Au ndo nyota????😝💃Mpaka anajipanga kutafuta mchumba basi pesa anayo hivyo alishafanya kazi maana hamnaga mbususu ya bure
huujui upweke,huwezi muelewa mama,wanawake hamjuagi tu tunavowahitaji,unakiangalia kitanda unamkumbuka mtu hadi unaamua kulala kwenye kochi yani akili yako inakwambia kama fulani hayupo hakuna kulala hapo