Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mastaaa.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] sawa mkuu, no more arguments
Badili location, problem solved! Af kama unapenda wenye matako lazma wallet yako iwe nene mithili ya matako yao yani kibunda kisiwe cha wasiwasi😅😅😅Sikutani na ninaowataka.
Si nitaonekana chizi sasa.Ukitembea hakikisha unaning'iniza kumi kumi mwanangu uone utakavyokuwa unawakimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Haipingwi [emoji4][emoji4]Mi mastaaa.
Kwa kipupwe cha gari mbona mrembo anapanua mapaja mwenyewe kwanza mbususu ipate upepe wa ac ya gari 🤣🤣🤣🤣Jua kali jomonii,hasa la Dar uuwii lazima awaone wana haraka wanawahi kimvuli,🤣
Yaanii unatoa yoteeeee kwa raha,🤸🤸🤸Kwa kipupwe cha gari mbona mrembo anapanua mapaja mwenyewe kwanza mbususu ipate upepe wa ac ya gari 🤣🤣🤣🤣
Achana nao fanya maisha mengineNdio najiuliza na mimi tatzo nin??
Kuangalia katuniKama yapi?
jf balaaKuangalia katuni
Hapo lazima alafu mshefa anakupeleka lwenye hotel ya ukweli full ac mara bby twende tukaogelee wee ukija kurudi kitandani ndio utakapoijua ile style ya msomali kafia ndani ya fiatYaanii unatoa yoteeeee kwa raha,🤸🤸🤸
Wakuu wa MMU habari za sasa,
Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.
Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.
Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.
Umri wangu ni 26.
ohoo,inatupata sana,,ni tunakazaga kichwa tu ukimuona mwanamke yupo hapo unahisi umuhitaji,ngoja aindoke sasa,mimi joto linaniendea vibaya hapa nina kama week 3 sijahisi njaa kisa nimeachwa😅 nakula mara moja tu kwa sikuKumbe na nyie hiyo hali inawapataga
Kwanini sasa mnakuaga na viburi na kusema kirahisi nimempiga chin
Kumbe joto la jiwe linakuaga kali kiasi hiko[emoji38][emoji38][emoji38]