🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kumbe unajua kuwa nyota nayo muhimu.Tha' mbona hawapati..? Au ndo nyota????😝💃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kumbe unajua kuwa nyota nayo muhimu.Tha' mbona hawapati..? Au ndo nyota????😝💃
Uneshakuwa Sasa jitahidi kuacha fujo! Sawa..?Kumbe na nyie hiyo hali inawapataga
Kwanini sasa mnakuaga na viburi na kusema kirahisi nimempiga chin
Kumbe joto la jiwe linakuaga kali kiasi hiko[emoji38][emoji38][emoji38]
Woii🤣🤣🤣🤣nyota jomonii 🤭🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kumbe unajua kuwa nyota nayo muhimu.
Kenzy Kenzy huyu huyu akimbie mchuchu ?Wengine mpk tunawakimbia we unakwama wapi..??
Na usafiri pia muhimu...hizi mbusus bwana ukiwa watembea kwa mguu zinakuwaga ngumu kuzipata🤣🤣🤣🤣Woii🤣🤣🤣🤣nyota jomonii 🤭
Jua kali jomonii,hasa la Dar uuwii lazima awaone wana haraka wanawahi kimvuli,🤣Na usafiri pia muhimu...hizi mbusus bwana ukiwa watembea kwa mguu zinakuwaga ngumu kuzipata🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuona wewe mpk upewe macho ya kiroho!Kenzy Kenzy huyu huyu akimbie mchuchu ?
🤣🤣🤣🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️
Uneshakuwa Sasa jitahidi kuacha fujo! Sawa..?
We jamaa si juzi tu hapa ulikuwa unalia-lia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengine mpk tunawakimbia we unakwama wapi..??
Naelewa unacho pitia ndugu, pole sana bt endelea kutafuta, tongoza as much you canWakuu wa MMU habari za sasa,
Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.
Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.
Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.
Umri wangu ni 26.
Kipofu kaona mwezi🤣🤣🤣We jamaa si juzi tu hapa ulikuwa unalia-lia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hili jibu napumzika tu..😂Fujo nimefanyia wapi
Embu pumzika tafadhal
Badili Location tu mzee baba😅 unakaa hapo hapo nenda mitaa ya mbali jimix na mafundi fundi ikibidi.😅Wakuu wa MMU habari za sasa,
Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.
Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.
Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.
Umri wangu ni 26.
Hiyo ilikuwa juzi jana je unaijua..?We jamaa si juzi tu hapa ulikuwa unalia-lia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani acha tu mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]Kipofu kaona mwezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28] sawa mkuu, no more argumentsHiyo ilikuwa juzi jana je unaijua..?