Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Wakuu wa MMU habari za sasa,

Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.

Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.

Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.

Umri wangu ni 26.
Naelewa unacho pitia ndugu, pole sana bt endelea kutafuta, tongoza as much you can
 
Wakuu wa MMU habari za sasa,

Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.

Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.

Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.

Umri wangu ni 26.
Badili Location tu mzee baba😅 unakaa hapo hapo nenda mitaa ya mbali jimix na mafundi fundi ikibidi.😅
 
Hao wanafunzi kama ni wa chuo komaa ila kama ni miaka 30 acha, unaishi wap huko mkuu kwa hii population ya wanawake ilivyo juu alafu huwaoni? Ushauri wangu usiwe too much selective
Naishi Dar.

Ushauri wako nimechukua.
 
Back
Top Bottom