Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Wakuu wa MMU habari za sasa,

Mimi kijana wenu, nimejaribu kazini, mtaani, stendi(huku wapo ila kila mtu busy) lakin wapi.
Labda mnisaidie maeneo gani nitakutana nao.

Wakati mwingine natoka Geto natembea tembea lengo nikutane na mdada anaenifaa nimpe ya moyoni, naishia kukutana na wake za watu na wanafunzi.

Mfano hadi sasa sina hata demu.
Mnisaidie mwenzenu upweke unanitesa.

Umri wangu ni 26.
Nenda na uingie maeneo ya Kambi yaJeshi au kituo Cha polisi utaopoa pisi Kali mwenyewe hutaamini mkuu na utakuja kunishukuru.
 
ohoo,inatupata sana,,ni tunakazaga kichwa tu ukimuona mwanamke yupo hapo unahisi umuhitaji,ngoja aindoke sasa,mimi joto linaniendea vibaya hapa nina kama week 3 sijahisi njaa kisa nimeachwa[emoji28] nakula mara moja tu kwa siku

Naomba kucheka mkuu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana mkuu

Si ndio life tuu hili
Ila mpunguze viburi ona sasa utakufa njaa
Anyway wanawake tuko wengi nakuombea upate chaka lingne lisilo na upupu[emoji38][emoji38]
 
Naomba kucheka mkuu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana mkuu

Si ndio life tuu hili
Ila mpunguze viburi ona sasa utakufa njaa
Anyway wanawake tuko wengi nakuombea upate chaka lingne lisilo na upupu[emoji38][emoji38]
ahsante😂 lakini kumbuka wanasema sio kila chaka ni la kujisaidia mengine yana nyoka,
nchi ngumu hii ukipigwa na kitu kizito kichwani
 
Kumbe na nyie hiyo hali inawapataga

Kwanini sasa mnakuaga na viburi na kusema kirahisi nimempiga chin
Kumbe joto la jiwe linakuaga kali kiasi hiko[emoji38][emoji38][emoji38]
Madam samahani...
Hiyo Avatar ni wewe?!
😋😋😋
#YNWA
 
Back
Top Bottom