Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Dah! Mbona mnatumia njia ya kuzunguka hivi!! Mnakwama wapi naona hampo serious
 
Pole sana aisee nishawai pitia iyo issue

Kimsingi wanawake siyo wengi Kama wengi wanavyodai .. kwakua siyo kila mwanamke niwakutongoza ..

Kuna wake zawatu.. Kunawalio kuzidi umri ... Kuna wadogo kabisa ambao siyo size yako ..

Af Kuna wale ambao ni saiz yako ila siyo type yako .. apa either Dem ni classic Sana kukuzidi even though ni saiz yako

Au wew ni classic Sana kias uwezi date girl type flani ata Kama ni age sawa na yako

Af Kuna wale ambao ni saiz yako nani type yako pia ila .. unaenda kuchukua number then Dem anakunyima au anakwambia ana mtu ..

Unawezaona how hard it's to get a girlfriend of ur dream

Haya unapata Dem mwengine ni size yako pia ni type yako .. ila mkashindwana tabia
Mitazamo ikapishana au ukaona tu amuendani mkaachana

Ukiwa kijana unaeishi ghetto unaweza kulia .. utapata depression ya kiwango cha lami .. ila ukiwa kwenu uweziona ugumu Sana maana ukirudi nyumbani unakuta home Kuna watu wakupiganao story utacheka utafurai nk..

Mimi Kuna kipindi nilikuw nalala adi kwenye coach ....Kitanda nakiona kigumu hatar

Me ata nikiwa na Ela kias gani nikiwa Sina kadem kakunituliza ma stress yangu either ata kuongea nae kwenye sim au ku meet nae naonag izo Ela azina umuim wowote .. mahana usiku stress zikizid naweza nikaenda kukesha bar na uko bar Kuna madhara kibao ..

In short usikate tamaa endelea kutafuta tu usitembee tembee Sana mtaani .. me zamani nilikuw naenda kweny viwanja vya mitaani vya michezo nazuga nahngalia mpira uku macho yapo kwenye vinjia vinavyo katiza kweny huo uwanja akipita Dem nitakae muelewa naondoka nae .. kesho pia ivyo ivyo .. .

Ukitembea mitaani unawezajikuta upo Kenya na hujapata Dem [emoji2]
 

unakijua ulichokiandika???
 

Duuuh hii kiboko
 
Jaribu kutembelea kivukoni kwenye pantoni mara kwa mara, ukipata chaguo la moyo njoo uishukuru JF kwa kukupatia jiko 😊😊
 
Asante sana mkuu
 
Hao wanafunzi kama ni wa chuo komaa ila kama ni miaka 30 acha, unaishi wap huko mkuu kwa hii population ya wanawake ilivyo juu alafu huwaoni? Ushauri wangu usiwe too much selective
Ahhaaa midem kibaooo....hapa nipo sehem inapita pita tu wanasubiri hisani
 
Njoo nikugawie mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…