Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, pole sana mkuu.. kunywa banana wine, ile kwanza bei poa then ni ndizi halisi. Enhehee, juzi nimeiona moja iko mbezi pale inaitwa RESPECT! Hazina neno.
Nimesikia wanaume wanaokunywa hizo wake zao wamewashtaki ustawi wa jamii!
Hizi hizi feki auMkuu kunywa bia ya heikeni, haina hang over kabisa nilitwanga kumi wakati niko high table wakati wa harusi yangu, nilikuwa bomba kinoma, na hasubuhi niliamka mapema toka hotelini kwenda kusalimia wazee nyumbani.
Pata hiyo,haina noma.
😀 unamikausho sana! kwanza unakunywa bia wewe..?Tujikite kwenye mada Kenzy
'Ninywe bia gani isiyoleta hang over?'
unaona sasa! halafu unakomalia tujikite kwenye mada!Hapana situmii
kifupi hujaangalia mada ni ya lini na alieuliza keshapata majibu yakutosha! nawewe hunywi umesema sasa huku kama sio kuwashwa ni nini ephen...😀Sasa umeniuliza swali lenye jibu
mh! sijasema haina umuhimu isipokuwa wewe umesema haunywi haoni hata mada tu haikuhusu ephen..? we hujushitukii mama!! hapa ni sawa na kuwafanyia vurugu watu hawa wazima! 2009 ulikuwa wapi kwanza...?Hii mada inafaa kwa wengine pia hata kama mleta mada alishapata majibu ya kutosha!
Ingekua haina umuhimu tena mods wangeitia kufuri...!🤸
Wewe ndiye umetafsiri ni kuwafanyia vurugu! Lakini sio hivyomh! sijasema haina umuhimu isipokuwa wewe umesema haunywi haoni hata mada tu haikuhusu ephen..? we hujushitukii mama!! hapa ni sawa na kuwafanyia vurugu watu hawa wazima! 2009 ulikuwa wapi kwanza...?