Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Niokoeni jamani nimeanza kumpenda Mzigua90

Ndondondo si churururu ! Ndivyo ilikuwa nianza kwa kupenda michango yake iliyopevuka iliyosheheni mapenzi ya kweli na nia ya utulivu uso kifani,Taratibu dozi ikaanza kuniingia lahaula la kwata nikajaa nikawa bingwa wa kufua tilia post za ke kuliko hata navyofuatilia za mshana jr ,deo msando na gudume .

Najileta kwenu waungwana mninusulu kwani nishaona dalili kuwa mzigua90 ataninyanyasa sana kwani mtizamo wake juu ya mahusiano ni hasi na ni dhahili ni mtu mtemi asieshaulika ,na ukiweka na kauzigua (Tanga ndo yalikozaliwa) mimi mnyalu wa watu najiona nikiuza kiwanja cha urithi.

Nafwaa wajameni.
Mkuu huku JF michango ya Dada zetu haifanani na Muonekano wao wa halisi... Unaweza ona anaongea busara kishenzi comment za Ukweli ila ukikutana naye ni shida, Kuna wengine wanacomment kiume ume lia ukionana nao wapo Fresh kikubwa JF ni Changanyikeni ,, Walio wengi hakika hawafanani na Michango yao.... au Avatar zao kwa hiyo kuwa Makini Mkuu usije kuja kuanza kulia lia hapa.
 
Umependa kwa hisia pole ukimuona na ikawa tofauti na hisia zako fanya utaratibu wa kum-pm kwa kutuma picha yako akijiridhisha kuwa mnafanana atakurukia hewani usiutese moyo wako kwa jambo linalo wezekana mkuu
 
Ndondondo si churururu ! Ndivyo ilikuwa nianza kwa kupenda michango yake iliyopevuka iliyosheheni mapenzi ya kweli na nia ya utulivu uso kifani,Taratibu dozi ikaanza kuniingia lahaula la kwata nikajaa nikawa bingwa wa kufua tilia post za ke kuliko hata navyofuatilia za mshana jr ,deo msando na gudume .

Najileta kwenu waungwana mninusulu kwani nishaona dalili kuwa mzigua90 ataninyanyasa sana kwani mtizamo wake juu ya mahusiano ni hasi na ni dhahili ni mtu mtemi asieshaulika ,na ukiweka na kauzigua (Tanga ndo yalikozaliwa) mimi mnyalu wa watu najiona nikiuza kiwanja cha urithi.

Nafwaa wajameni.
Kuuza kiwanja si hoja. Mie naogopa tu kale katabia kenu "WANYALU" ka kukimbilia kamba na kujining'iniza.
 
Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
 
Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
Umemaliza, nakukubali sana mrembo wewe ....
 
Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu
Dah ngoja nifanye hivyo we ni genius kabisa shikamoo
 
Ndondondo si churururu ! Ndivyo ilikuwa nianza kwa kupenda michango yake iliyopevuka iliyosheheni mapenzi ya kweli na nia ya utulivu uso kifani,Taratibu dozi ikaanza kuniingia lahaula la kwata nikajaa nikawa bingwa wa kufua tilia post za ke kuliko hata navyofuatilia za mshana jr ,deo msando na gudume .

Najileta kwenu waungwana mninusulu kwani nishaona dalili kuwa mzigua90 ataninyanyasa sana kwani mtizamo wake juu ya mahusiano ni hasi na ni dhahili ni mtu mtemi asieshaulika ,na ukiweka na kauzigua (Tanga ndo yalikozaliwa) mimi mnyalu wa watu najiona nikiuza kiwanja cha urithi.

Nafwaa wajameni.
[emoji144] [emoji102] [emoji26] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji173] [emoji173]
 
Back
Top Bottom