Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ameeeeeeèen mama. Kama asipoelewa huu ushauri basi tena.Haya mambo ya thread thread sio ishu, nenda pm mwambie "bibie nna kisalio hapa nataka nikutumie upate lunch , sijui niitume vipi mama" Mzigua90 nae ana moyo lazma moyo utalegea atakupa namba ukifanya muamala itapendeza, hadi hapo mpira upo ndani ya box. Mnakompliketisha mambo
Sasa hii thread itaishia kukupa likes tu