Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Niliangalia documentary, kuna Mnigeria yuko kwenye oil business. Akitaka kwenda Marekani anatumia private jet. Ameahidi vijana wa Nigeria, yeyote atakae pata admission Havard atamlipia ada mpaka anamaliza shule.
Wapo hata hapa bongo.
 

Idiot, kutoka China unashushwa SA? Unaleta ujinga wa Dara’s a la saba
 
Huu ni mzimu wa Kidukurilo?
 
Mzee siku akidanja urudi uhadithie
 
[emoji23]

Ukute ni kajamaa kanatembeza maji ya kandoroo hapo Buza
 
Nikakumbuka kule China nilikuwa Hotel moja ilikuwa na chakula maalum cha baharini. Ile menu ilikuwa inauzwa kwa bei ya chini kabisa Usd 4,500.
Hii sentensi imenifanya nirudi juu kuangalia ni nani kapandisha huu uzi, kumbe mawazo yangu ni kweli kua mzee mmoja mganga huko sumbawanga Bill Lugano kamaliza kugegeda wateja wake akaja kusumbua watu JF
 
Is Lugano from Mbeya or Bukoba? Maana si kwa swagga hizi watu nyie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…