John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
You're going to be a cannon fodderWakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Tupo wengi humu!Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
JWTZ NAWAAMINIA!💪💪💪👍Kila likilo jema kwa Jeshi letu.....najya ni shughuli kubwa this time wamekuja kivingine hadi mamluki wamo ndani m23....snipers raia france etc silaha kisasa sanaa....inabidi UN wawape silaha kisasa.....zaidi zenye nguvu nilipita kunduchi nikaona wako busy sana.....PK mkorofi sanaaa .....anauza dhahabu ulaya hana mgodi nchini kwake daaaa.....shamba la bibi
Itakuwa ni ya humu humu JF labdaKamandi yako ni ya wapi
Hizo nafasi huwa mnazililia na hata kwenda kwa waganga.Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Analipwa kwa kuilinda Tanzania na sio DRCYaani uombewe wakati unalipwa mshahara Kwa kazi hiyo? Tena Kuna posho Kwa akili ya kazi hiyo maalum...hebu kapambane huko acha kulialia
Na sisi wa zamani..!!Ni msemo wa zamani,,
Best wishes kamanda, sacrifice is also a pillar of God , be strong mentally and fearlessWakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Hata huyo mganga aliekamatwa na fisi naona atakuwa vizuri sema anashikiliwa police.Ndiyo mkuu. Kijiji cha Būbale. Kwa namhala Ng'wanikanga. Mīja nogi ntale Obūbale. Nchilū Ngikūlū Ng'wanadūūba. Ukitoka hapo unakwenda Ng'waukoli huko kwa bibi Kwangū Ng'wanajibembesele. Kwa mbwembwe zote za huku Ntuzu aisee we wacha tu.
Au Tanga huko aende akapikwe kwa mzee Mbegeke. Maji yanatokota kwenye pipa eti ndiyo unaambiwa uingiemo halafu pipa linafunikwa...ukija kutoka humo si ajabu ukajikuta uko baharini. Utakayoyaona na kufanyiwa huko kamwe hupaswi kuyasema...
Misituni huko DRC wewe ni vicheko tu wakati wenzio wanapelekewa moto wa SMG - upo kama haupo, wanakuona kama huonekani. Code za Major General Mayunga hizi. Aliowaongoza kule Uganda kumfurusha Idd Amin wanafahamu.
Alaaaa!
Hata huyo mganga aliekamatwa na fisi naona atakuwa vizuri sema anashikiliwa police.
Nyie si mnalipwa mishahara kwa kazi iyo.Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
then tanzania ilipata faida gani baada ya kusaidiaWao wanaenda kupigana kwa faida ya raia wa Tz pia.
Labda nikuuluze swali ambalo jibu lake litakupatia mwanga kidogo kuhusu faida yake.
Ukiwa na jirani mkorofi, mshari, mgomvi sana, leo kaja kutinga nyumbani kwako, umemsikia tu anatukana kishari, lakini kabla hajaingia ndani kwenye compound yako, ni maamuzi gani ya haraka unayoweza kuyachukua ili asijekuingia ndani na kukusababishia hasara kubwa?
Kama jibu litakuwa ni kumfuata huko huko nje ili mkamalizane, basi jibu hilo ndiyo mfano wake hutumika kumfuata adui aliye nje ya mipaka ya nchi kwenda 'kufanyiziana' naye huko huko ili kuhami maisha na ustawi wa raia wetu.
Pamoja na madhumuni ya jeshi uliyoyataja kwa kimombo, lakini kumbuka kuwa nchi nyingi za kusini ya mipaka ya Tz, ukombozi wa nchi zao, umepatikana kwa majeshi ya Tz kujiinguza moja kwa moja kijeshi ama kuwafadhili na kuwapa hifadhi wapigania uhuru wa mataifa hayo.
Daah🤣🤣Unaenda wewe roho inanidunda mimi
Mnaacha kusaidia kuondoa utawala wa kifisadi na kidhalimu hapa nchini mnaenda DRC na kimbelembele cha kuwaondoa M23 ambao wanapigana na serikali yao kutafuta haki. Halafu unasema tukuombee? Uko sawa kichwani wewe na hao wanaokutuma?Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mungu amtangulie ili iweje, aue watu wengine? Hao wengine hawana Mungu?Urudi salama.Mungu akutangulie. Ila ukiona hali ni mbaya kimbia 😜