Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
You're going to be a cannon fodder
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Tupo wengi humu!
Our MOTTO is "WWW!"
1-'W' = WHISKY
2-'W'= WOMEN
3-'W'=WAR
 
Kila likilo jema kwa Jeshi letu.....najya ni shughuli kubwa this time wamekuja kivingine hadi mamluki wamo ndani m23....snipers raia france etc silaha kisasa sanaa....inabidi UN wawape silaha kisasa.....zaidi zenye nguvu nilipita kunduchi nikaona wako busy sana.....PK mkorofi sanaaa .....anauza dhahabu ulaya hana mgodi nchini kwake daaaa.....shamba la bibi
JWTZ NAWAAMINIA!💪💪💪👍
 
Hofu ya nini mkuu au ulifata ajira tu jeshini any way njoo na pesa Pm nikupe dawa
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Hizo nafasi huwa mnazililia na hata kwenda kwa waganga.

Ukirudi salama una Milioni zako zisizopungua 25 kulingana na rank yako.

Ukirudi kwenye jeneza familia yako itakunja hela ndefu zaidi ya hizo.

Najua wewe huendi maana nakujua ni bodaboda hapo mivinjeni, ila uliamua kunogesha kijiwe cha JF
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Best wishes kamanda, sacrifice is also a pillar of God , be strong mentally and fearless
 
Ndiyo mkuu. Kijiji cha Būbale. Kwa namhala Ng'wanikanga. Mīja nogi ntale Obūbale. Nchilū Ngikūlū Ng'wanadūūba. Ukitoka hapo unakwenda Ng'waukoli huko kwa bibi Kwangū Ng'wanajibembesele. Kwa mbwembwe zote za huku Ntuzu aisee we wacha tu.

Au Tanga huko aende akapikwe kwa mzee Mbegeke. Maji yanatokota kwenye pipa eti ndiyo unaambiwa uingiemo halafu pipa linafunikwa...ukija kutoka humo si ajabu ukajikuta uko baharini. Utakayoyaona na kufanyiwa huko kamwe hupaswi kuyasema...

Misituni huko DRC wewe ni vicheko tu wakati wenzio wanapelekewa moto wa SMG - upo kama haupo, wanakuona kama huonekani. Code za Major General Mayunga hizi. Aliowaongoza kule Uganda kumfurusha Idd Amin wanafahamu.

Alaaaa!
Hata huyo mganga aliekamatwa na fisi naona atakuwa vizuri sema anashikiliwa police.
 
Hata huyo mganga aliekamatwa na fisi naona atakuwa vizuri sema anashikiliwa police.
IMG-20250125-WA0096.jpg
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Nyie si mnalipwa mishahara kwa kazi iyo.
Kila la kheri Mzee
 
Wao wanaenda kupigana kwa faida ya raia wa Tz pia.

Labda nikuuluze swali ambalo jibu lake litakupatia mwanga kidogo kuhusu faida yake.

Ukiwa na jirani mkorofi, mshari, mgomvi sana, leo kaja kutinga nyumbani kwako, umemsikia tu anatukana kishari, lakini kabla hajaingia ndani kwenye compound yako, ni maamuzi gani ya haraka unayoweza kuyachukua ili asijekuingia ndani na kukusababishia hasara kubwa?

Kama jibu litakuwa ni kumfuata huko huko nje ili mkamalizane, basi jibu hilo ndiyo mfano wake hutumika kumfuata adui aliye nje ya mipaka ya nchi kwenda 'kufanyiziana' naye huko huko ili kuhami maisha na ustawi wa raia wetu.
Pamoja na madhumuni ya jeshi uliyoyataja kwa kimombo, lakini kumbuka kuwa nchi nyingi za kusini ya mipaka ya Tz, ukombozi wa nchi zao, umepatikana kwa majeshi ya Tz kujiinguza moja kwa moja kijeshi ama kuwafadhili na kuwapa hifadhi wapigania uhuru wa mataifa hayo.
then tanzania ilipata faida gani baada ya kusaidia
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwa kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mnaacha kusaidia kuondoa utawala wa kifisadi na kidhalimu hapa nchini mnaenda DRC na kimbelembele cha kuwaondoa M23 ambao wanapigana na serikali yao kutafuta haki. Halafu unasema tukuombee? Uko sawa kichwani wewe na hao wanaokutuma?
 
Back
Top Bottom