kapinandemanga
Member
- Aug 5, 2020
- 48
- 85
UZALENDOWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mungu mwema mkuu
Niaamini mtarudi salama