Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.