Nionavyo, hakuna kinaitwa tatizo la afya ya akili bali ni umaskini wa kipato tu

Nionavyo, hakuna kinaitwa tatizo la afya ya akili bali ni umaskini wa kipato tu

The rule is " A poor person is likely to be depressed more than a rich person". A poor person does not access all whatever she/he wishes to get like food, shelter and others. A rich person gets everything he wants ontime.
Sasa umebadilisha. maana wewe ulikuwa unasema unachoona kinachoitwa sijui magonjwa ya akili ni umasikini. mimi nikata nikuonyeshe kuwa si kweli hata matajiri wana magonjwa ya akili na wanajiua sana. Chukulia nchi kama japan ni mojawapo ya nchi yenye watu wenye kipato kizuri lakini ina rate kubwa ya watu kujiua ikiwa inashikilia nambari ya 48 huku tz na huu umasikini tuko namba 97.
Watu wengine wanakuwa na shida ya akili ukubwani kwa sababu labda wakiwa wadogo walikosa attention ya wazazi na waliipata tu pale wakifanya matukio ya ajabu kwa mfano, kupigana shuleni, kuharibu vitu na wazazi wao wana pesa so wao wanahisi kwa kuwa mtoto anapata kila kitu basi is fine. Hawa unakuta wakiwa wakubwa wanageuka labda ma serial killer ili tu kupata attention.
Hivyo tatizo la akili lina mizizi si tu umasikini ni mambo mengi.
 
Sasa umebadilisha. maana wewe ulikuwa unasema unachoona kinachoitwa sijui magonjwa ya akili ni umasikini. mimi nikata nikuonyeshe kuwa si kweli hata matajiri wana magonjwa ya akili na wanajiua sana. Chukulia nchi kama japan ni mojawapo ya nchi yenye watu wenye kipato kizuri lakini ina rate kubwa ya watu kujiua ikiwa inashikilia nambari ya 48 huku tz na huu umasikini tuko namba 97.
Watu wengine wanakuwa na shida ya akili ukubwani kwa sababu labda wakiwa wadogo walikosa attention ya wazazi na waliipata tu pale wakifanya matukio ya ajabu kwa mfano, kupigana shuleni, kuharibu vitu na wazazi wao wana pesa so wao wanahisi kwa kuwa mtoto anapata kila kitu basi is fine. Hawa unakuta wakiwa wakubwa wanageuka labda ma serial killer ili tu kupata attention.
Hivyo tatizo la akili lina mizizi si tu umasikini ni mambo mengi.
Hakuna kitu kinachoitwa ugonjwa wa afya ya akili ila kuna kitu kinaitwa umaskini tu. Hao matajiri wanastrugle kupata utajiri zaido ndo mana on the way wanajikuta wanapatwa na madhara. Kujinyonga kwingi kuko afrika kwa sababu ya umaskini
 
Mawazo ya mtu, yanasema mengi sana.

Ni hivi psychologically ni watu wachache sana ambao wamezaliwa kwenye familia ambazo mahitaji muhimu wanapewa (sio lazima familia tajiri). Kwa walio tokea huko kwenda juu nj wachache sana wanaoweza tumia neno la kuita watu wengine maskini comfortably.

Ukiona mtu anaweza tumia neno la kuita watu wengine maskini, ni kwamba chances amekulia familia duni sana.

Tabia na mitazamo yetu huwa zinafichua makuzi yetu na tulipotokea.
 
Hakuna kitu kinachoitwa ugonjwa wa afya ya akili ila kuna kitu kinaitwa umaskini tu. Hao matajiri wanastrugle kupata utajiri zaido ndo mana on the way wanajikuta wanapatwa na madhara. Kujinyonga kwingi kuko afrika kwa sababu ya umaskini
Mtu ana utajiri hadi anagawa millions of his money in dollars then useme ana struggle kuongeza utajiri ni masikini? huyu mtu anagawa pesa ikiwa ina maana anazo za kutosha anadonate pesa in millions of dollars but ana depression na mwisho anajiua.
 
Mtu ana utajiri hadi anagawa millions of his money in dollars then useme ana struggle kuongeza utajiri ni masikini? huyu mtu anagawa pesa ikiwa ina maana anazo za kutosha anadonate pesa in millions of dollars but ana depression na mwisho anajiua.
Elon ni tajiri maoja duniani with a lof trillions lakini anastrugle sasa hivi kumiweka trump madarakani ili aendelee kuchuma wakati sisi waafrika tunatafuta miujiza kwa mwamposa
 
Elon ni tajiri maoja duniani with a lof trillions lakini anastrugle sasa hivi kumiweka trump madarakani ili aendelee kuchuma wakati sisi waafrika tunatafuta miujiza kwa mwamposa
So kumbe shida sio umasikini kwa hiyo shida ni kila mtu ana struggle kuongeza pesa haijalishi ni tajiri au masikini, so kumbe hiyo shida ni ya wote basi futa kauli yako.
 
So kumbe shida sio umasikini kwa hiyo shida ni kila mtu ana struggle kuongeza pesa haijalishi ni tajiri au masikini, so kumbe hiyo shida ni ya wote basi futa kauli yako.
Title yangu inasema hakuna kitu kinaitwa changamoto ya afya ya akili bali umaskini tu
 
sasa Avic kwa mfano alikuwa masikini?
Alikuwa na matatizo mengine ama ya kifamilia au la lakini mtu ambaye anaweza kutafuta pesa mpaka akawa tajiri huyo hana tatizo la afya ya akili. Tatizo la afya ya akili ni falure ya kutafuta na mwisho kuwa maskini na mwiaho unakufa. Hata darwin ameshasema ukifa ni uzembe wako wa kutotaka kuishi
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
We ni very narrow minded na huna exposure, afya ya akili ulaya ni tatizo kubwa kupita Africa karibia 25% wanakumbwa na janga hili vituo vya rehabilitation na therapy ni vingi hata kuliko bar
 
Tatizo la afya ya akili ni theoretical. No practical in it
We ni very narrow minded na huna exposure, afya ya akili ulaya ni tatizo kubwa kupita Africa karibia 25% wanakumbwa na janga hili vituo vya rehabilitation na therapy ni vingi hata kuliko bar
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Afya ya akili hilo tatizo lipo hebu Google uliza kifo cha Stephen Twitch kilisababishwa na nini
 
Tatizo la afya ya akili ni theoretical. No practical in it
Hujui unacho ongelea tafuta elimu kwanza kuhusu unacho ongelea mkuu, neenda google kuna notes na vyazo la hilo tatizo.
 
Afya ya akili hilo tatizo lipo hebu Google uliza kifo cha Stephen Twitch kilisababishwa na nini
Siwezi google kitu ambacho practically hakipo. Ni sawa na ambapo walituaminisha kwamba korona ipo lakini magufuli akawaproove wrong. Hivi vitu vingine mnaaminishwa ili wauzs madawa tu na waongeze utajiri wao
 
Hujui unacho ongelea tafuta elimu kwanza kuhusu unacho ongelea mkuu, neenda google kuna notes na vyazo la hilo tatizo.
Mi mwenyewe ni google unataka google gani tena
 
Wewe si tayari una matatizo ya afya ya akili inaanzaga hivo, we tayari ndugu zako wangechukua hatua
Usiamini kila kitu cha wazungu. Google ni ya wazungu na inakuwa operated na wao hivyo wanaweza andika chochote ili kifanya biashara na wewe kitu kisichokuwepo. Ukoloni bado upo. Get rid of it
 
Umejichanganya hao wazungu na matajiri ndio wanakuwa na hizo shida huko hadi wanakuwa suicidal. We jiulize mtu kama avic alikuwa na pesa maarufu lakimi suicidal mpaka akajiua, list ni kubwa mno na ndio maana mwisho kwa sababu ya depression wanakimbilia kula madawa na kuzidi kuwa na hali mbaya.
Kuna watu wanadhani pesa ni suluhisho la kila kitu ndio maana wanapigilia msumari na kauli yao 'TAFUTA HELA' .... poor mindset
 
Siwezi google kitu ambacho practically hakipo. Ni sawa na ambapo walituaminisha kwamba korona ipo lakini magufuli akawaproove wrong. Hivi vitu vingine mnaaminishwa ili wauzs madawa tu na waongeze utajiri wao
Mbona una makasiriko halafu reasoning zako ni za kichovu sana ? Mambo yaliyotokea enzi za Magufuli hayahusiki na hii mada ulioleta. Afya ya akili ipo sana sio kwa wqtu wasio na kipato tu hata wenye kipato pia. Nimekuambia utafuye chanzo cha kifo cha Stephen Twitch umekataa eti hauwezi. Sasa kwanini huwezi? Wewe mwenyewe tatizo la afya ya akili unalo tena kwa kiasi kikubwa tu.
 
Back
Top Bottom