Nionavyo, hakuna kinaitwa tatizo la afya ya akili bali ni umaskini wa kipato tu

Nionavyo, hakuna kinaitwa tatizo la afya ya akili bali ni umaskini wa kipato tu

Wewe si tayari una matatizo ya afya ya akili inaanzaga hivo, we tayari ndugu zako wangechukua hatua
Nimemwambia huyu ana tatizo la afya ya akili kumbe na wewe umeligundua hilo?
 
Mbona una makasiriko halafu reasoning zako ni za kichovu sana ? Mambo yaliyotokea enzi za Magufuli hayahusiki na hii mada ulioleta. Afya ya akili ipo sana sio kwa wqtu wasio na kipato tu hata wenye kipato pia. Nimekuambia utafuye chanzo cha kifo cha Stephen Twitch umekataa eti hauwezi. Sasa kwanini huwezi? Wewe mwenyewe tatizo la afya ya akili unalo tena kwa kiasi kikubwa tu.
Mtafilia hatu mtalshwa matango pori na wazungu hawa kila mtu akikose ajambo dogo tu tayri ana tatizo la afya ya akili. Mke akicheleweaha msosi mezani tu unawambia mke wangu una tatizo la afya ya akili. Hizi slogans za wazungu achaneni nazo
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Hujui Dunia
 
Mtafilia hatu mtalshwa matango pori na wazungu hawa kila mtu akikose ajambo dogo tu tayri ana tatizo la afya ya akili. Mke akicheleweaha msosi mezani tu unawambia mke wangu una tatizo la afya ya akili. Hizi slogans za wazungu achaneni nazo
Unapoanzisha mada uwe tayari kuitetea na kujifunza sio una copy na ku paste tu hapa
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Wazungu ndio wanaongoza kuwa na tatizo la afya ya akili.
Wapo watu matajiri na mashuhuri wengi tu ambao wanaishi kwa madawa na vidonge vya usingizi kwa sababu ya depression ( afya ya akili)
 
Wazungu ndio wanaongoza kuwa na tatizo la afya ya akili.
Wapo watu matajiri na mashuhuri wengi tu ambao wanaishi kwa madawa na vidonge vya usingizi kwa sababu ya depression ( afya ya akili)
Madawa siyo tatizo la afya akili bali life processes. Mwisho utaswma hata kujamba no tatizo la afya ya akili
 
Sio kosa lako una uelewa mdogo kuhusu tatizo la afya ya akili
 
Huyu jamaa ni wa ku puuza,
Ni wale wanaokaza ubongo ili waendelee kubishana.
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Kinachochanganya akili sio lazima kiwe fedha kuna
1.Ndoa,mapenzi
2.Majanga kama vile Mv Bukoba iliua familia nzima ya mwalimu mkuu wa Secondary ya Minaki mpaka yule mzee dish limeyumba
3.Negative Expectations vitu kwenda sivyo
4.Urithi
So acha kuamini umasikini ndio chanzo kuna masikini wana utulivu wa akili kuliko matajiri
 
Kinachochanganya akili sio lazima kiwe fedha kuna
1.Ndoa,mapenzi
2.Majanga kama vile Mv Bukoba iliua familia nzima ya mwalimu mkuu wa Secondary ya Minaki mpaka yule mzee dish limeyumba
3.Negative Expectations vitu kwenda sivyo
4.Urithi
So acha kuamini umasikini ndio chanzo kuna masikini wana utulivu wa akili kuliko matajiri
Huwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbie
 
Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.

Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.

We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.

Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Basi tuseme ni msongo wa umaskini tu na sii ugonjwa.
 
Huwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbie
Acha ubishi wewe kesho jumamosi kutakuwa na therapy ya watu wanaopitia changamoto za afya ya kiakili Selena Hotel na tangazo linatagazwa Clouds fm sikiliza halafu fuatilia
 
Huwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbie
Offcoz hiyo sababu ya umasikini kwa sasa ndio inayoongoza ila ni sababu moja na pia kuna nyingine japokuwa kukosa pesa kuna trigger vingine vingine vilete shida kwenye equilibrium ya ubongo
 
Huo ndo ukweli umasikini, madeni,mikopo, msongo wa mawazo,mikeka inachanika ,mlo pasi ndefu za counter attack kama mbuemo na wisa wa Brentford kwanini usipagawe na kudata ,
 
Back
Top Bottom