Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nimemwambia huyu ana tatizo la afya ya akili kumbe na wewe umeligundua hilo?Wewe si tayari una matatizo ya afya ya akili inaanzaga hivo, we tayari ndugu zako wangechukua hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemwambia huyu ana tatizo la afya ya akili kumbe na wewe umeligundua hilo?Wewe si tayari una matatizo ya afya ya akili inaanzaga hivo, we tayari ndugu zako wangechukua hatua
Mtafilia hatu mtalshwa matango pori na wazungu hawa kila mtu akikose ajambo dogo tu tayri ana tatizo la afya ya akili. Mke akicheleweaha msosi mezani tu unawambia mke wangu una tatizo la afya ya akili. Hizi slogans za wazungu achaneni nazoMbona una makasiriko halafu reasoning zako ni za kichovu sana ? Mambo yaliyotokea enzi za Magufuli hayahusiki na hii mada ulioleta. Afya ya akili ipo sana sio kwa wqtu wasio na kipato tu hata wenye kipato pia. Nimekuambia utafuye chanzo cha kifo cha Stephen Twitch umekataa eti hauwezi. Sasa kwanini huwezi? Wewe mwenyewe tatizo la afya ya akili unalo tena kwa kiasi kikubwa tu.
Hujui DuniaMi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Unapoanzisha mada uwe tayari kuitetea na kujifunza sio una copy na ku paste tu hapaMtafilia hatu mtalshwa matango pori na wazungu hawa kila mtu akikose ajambo dogo tu tayri ana tatizo la afya ya akili. Mke akicheleweaha msosi mezani tu unawambia mke wangu una tatizo la afya ya akili. Hizi slogans za wazungu achaneni nazo
Wazungu ndio wanaongoza kuwa na tatizo la afya ya akili.Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Madawa siyo tatizo la afya akili bali life processes. Mwisho utaswma hata kujamba no tatizo la afya ya akiliWazungu ndio wanaongoza kuwa na tatizo la afya ya akili.
Wapo watu matajiri na mashuhuri wengi tu ambao wanaishi kwa madawa na vidonge vya usingizi kwa sababu ya depression ( afya ya akili)
Kinachochanganya akili sio lazima kiwe fedha kunaMi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Huwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbieKinachochanganya akili sio lazima kiwe fedha kuna
1.Ndoa,mapenzi
2.Majanga kama vile Mv Bukoba iliua familia nzima ya mwalimu mkuu wa Secondary ya Minaki mpaka yule mzee dish limeyumba
3.Negative Expectations vitu kwenda sivyo
4.Urithi
So acha kuamini umasikini ndio chanzo kuna masikini wana utulivu wa akili kuliko matajiri
Basi tuseme ni msongo wa umaskini tu na sii ugonjwa.Mi huwa nashangaa watu hasa siku hizi eti mara ooh huyu ana tatozo la afya ya akili mara ooh huyu ana ahangamoto ya afya ya akili.
Ki ukweli kabisa hakuna kitu kama.hicho. Jiulizeni kwa nini hakuna mzungu au tajiri anakuwa na tatizo la afya ya akili. Kwani waafrica tu ndo wamelaaniwa na matitizo ya akili? Jibu ni kwamba hakuna kitu kinaitwa tatizo la afya ya akili ispokuw ni ukosefu wa fedha lazzima uchanganyiliww kama huna hela.
We mpatie hela mtu uone kama hicho mnachoita tatizla la afya ya akili kama hakiishi fasta.
Nashauri serikali ifute taasisi ya milembe ni upotevu wa pesa kwa njia ya ruzuki. In. Short milembe is null and void.
Acha ubishi wewe kesho jumamosi kutakuwa na therapy ya watu wanaopitia changamoto za afya ya kiakili Selena Hotel na tangazo linatagazwa Clouds fm sikiliza halafu fuatiliaHuwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbie
Offcoz hiyo sababu ya umasikini kwa sasa ndio inayoongoza ila ni sababu moja na pia kuna nyingine japokuwa kukosa pesa kuna trigger vingine vingine vilete shida kwenye equilibrium ya ubongoHuwezi kuwa nan utulivu wa akili ukiwa maskini. Lazima akili ziruke if at all you are rational. Ukiwa maskini unakuwa chizi unatembea barabarani unaongea peke yako na rafiki zako wote lazima wakukimbie