Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Kama wanawake vichaa wanapewa mimba mitaani mtu yoyote kucheat anaweza kucheat awe mzuri au mbaya!


Kucheat ni Tabia ya mtu haitegemei uzuri au ubaya wake!

Cha msingi pata mtu anaejua thamani ya kutocheat na hasara za kucheat. Usiangalie kigezo cha uzuri au ubaya wa mtu kama sababu ya kucheat au kutokucheat. Utalia


All in all ishi Kwa kutegemea lolote kutoka kwa Binadamu yoyote! Ishi na mke wako ukitegemea anaweza kukucheat, kukudanganya au lolote Lile. JIANDAE Kwa VITA Muda WOWOTE!
Umenena
 
Jinsia Ke akishakuwa mzuri kila kidume atataka kumla ikiwemo mm, so juhudi zinakuwa nzito kuliko uwezo wa huyo mwanamke mwisho wa cku analiwa tuu
 
Ahahah🤣 unachekesha mkuu, dini gani hiyo hawatoi mizigo? Maana mimi nina dem kila dini kila dhehebu.
Unawaua tu au sio?! Huoni hasara na maafa utakayosababisha ndani ya ndoa na familia za wenzio?! 😔 Tafakari na fikiria kwa kina maumivu atakayoyapata mwenzio ambaye ameoa mkewe kihalali wewe unamgongea alafu na maradhi umempa 😔😔😔

UTAULIZWA NDUGU
 
Inategemea naww unao ukali katika eneo gani vinginevo km ww pia huna ukali wowote utapigiwa sana
 
Unawaua tu au sio?! Huoni hasara na maafa utakayosababisha ndani ya ndoa na familia za wenzio?! 😔 Tafakari na fikiria kwa kina maumivu atakayoyapata mwenzio ambaye ameoa mkewe kihalali wewe unamgongea alafu na maradhi umempa 😔😔😔

UTAULIZWA NDUGU
NITAJIBU NDUGU😅
 
Back
Top Bottom