Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Mwingine anakuaminisha kuwa hatongozwi hasumbuliwi hii ni kukupa moyo. Binafsi naona kazini wapo ambao wanaweza kukutengenezea mazingira mnyooko na ni wake za watu.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.
 
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.
Hili mimi nina ushahidi
Mke wa mtu anakwambia wewe mzembe na kaamka na mumewe huko kwake unajiuliza huku tena anataka nini
 
Ukioa mwanamke mzuri jiandae kisaikolojia kuchapiwa. Mbaya zaidi midingi yenye hela ndefu ikipenda chombo chako watapenyeza rupia na mwanamke akiwa laini unachapiwa asubuhi tu. Ukioa mbaya ukidhani hatavutia wahuni nako ni yaleyale tu kuna muhuni atavutiwa naye na atataka kumuonjea mpiko. Mbaya zaidi akipata mimba ya muhuni hutajua haraka ni mpaka baadae sana itakuja kugundulika mwanamke alichapwa nje akanasa mimba na kuzalia ndoani. Mtoto hatafanana na baba labda afanane na mama ili kuficha soo. Ukute nyie wote ni weupe mtoto atoke ni mweusi hapo siri itavuja haraka. Baba na mama ni weusi mtoto atoke ni mweupe hiyo nayo imekaaje? Ukioa bora ujue hauko peke yako kuna wengine pia wanamchakata mke wako kwa siri, qmmamae nikigundua mchezo huo kuna mawili, jela na hospitalini sitaki kwenda, nafukuza mke au naondoka nimuachie uhuru achakatwe tani yake isiwe taabu
Duh
 
Sababu kubwa ya jupigwa nini ? Inajulikana wasichana wakiwa mtu kueleweka wanatulia kuwa royal shida hutokea njianii sababu kubwa nini ??kosa ni wanaume kuanza cheat....wao wanavumilia ......wakishindwa hulipa kisasi kikubwa....na kuhamia upande wa pili..mmmm mpo ?
Chanzo cha wanawake wengi sasa hivi ku cheat ni sisi wanaume. Nazungumzia Bongo hasa Dar. 24/7 wanawaume wanawaza ngono. Mwanamke akipita sehemu kama ana makalio makubwa kidogo tu unasikia wanaume wanakohoa. Nadhani ni ukosefu wa kazi. Watu wanazagaa na kukaa vikundi bila shughuli. Nchi za wenzetu mtu ukiingia kazini uko bussy mno na ukitoka unataka kwenda nyumbani.
 
Huwezi kuoa mwanamke mzuri wewe!!
Wache walioa wafurahie matunda ya uumbaji.
Wewe pambana na sura yako petsonal. Ulichagua mwenyewe
 
Ukioa mwanamke mzuri jiandae kisaikolojia kuchapiwa. Mbaya zaidi midingi yenye hela ndefu ikipenda chombo chako watapenyeza rupia na mwanamke akiwa laini unachapiwa asubuhi tu. Ukioa mbaya ukidhani hatavutia wahuni nako ni yaleyale tu kuna muhuni atavutiwa naye na atataka kumuonjea mpiko. Mbaya zaidi akipata mimba ya muhuni hutajua haraka ni mpaka baadae sana itakuja kugundulika mwanamke alichapwa nje akanasa mimba na kuzalia ndoani. Mtoto hatafanana na baba labda afanane na mama ili kuficha soo. Ukute nyie wote ni weupe mtoto atoke ni mweusi hapo siri itavuja haraka. Baba na mama ni weusi mtoto atoke ni mweupe hiyo nayo imekaaje? Ukioa bora ujue hauko peke yako kuna wengine pia wanamchakata mke wako kwa siri, qmmamae nikigundua mchezo huo kuna mawili, jela na hospitalini sitaki kwenda, nafukuza mke au naondoka nimuachie uhuru achakatwe tani yake isiwe taabu
Msimamo kama wangu , nikijua tu namwacha huru
 
Back
Top Bottom