proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
huu uzi nitausoma mara 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndo kwenye majibu yote. Kupigwa ni maamuzi binafsi.Mkuu kupigwa anapigwa yeyote
Awe mkali
Awe mbovu
As long as ameamua kupigwa atapigwa
Hata kiwete anapigwa boss
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.Mwingine anakuaminisha kuwa hatongozwi hasumbuliwi hii ni kukupa moyo. Binafsi naona kazini wapo ambao wanaweza kukutengenezea mazingira mnyooko na ni wake za watu.
Hili mimi nina ushahidiMwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.
Hili ni janga. Umenena mkuu. HawaridhikiTatizo wanawake wenyewe wamejaa tamaa na mashindano na maisha ya kujilinganisha na wengine.
Kwanini?huu uzi nitausoma mara 100
DuhUkioa mwanamke mzuri jiandae kisaikolojia kuchapiwa. Mbaya zaidi midingi yenye hela ndefu ikipenda chombo chako watapenyeza rupia na mwanamke akiwa laini unachapiwa asubuhi tu. Ukioa mbaya ukidhani hatavutia wahuni nako ni yaleyale tu kuna muhuni atavutiwa naye na atataka kumuonjea mpiko. Mbaya zaidi akipata mimba ya muhuni hutajua haraka ni mpaka baadae sana itakuja kugundulika mwanamke alichapwa nje akanasa mimba na kuzalia ndoani. Mtoto hatafanana na baba labda afanane na mama ili kuficha soo. Ukute nyie wote ni weupe mtoto atoke ni mweusi hapo siri itavuja haraka. Baba na mama ni weusi mtoto atoke ni mweupe hiyo nayo imekaaje? Ukioa bora ujue hauko peke yako kuna wengine pia wanamchakata mke wako kwa siri, qmmamae nikigundua mchezo huo kuna mawili, jela na hospitalini sitaki kwenda, nafukuza mke au naondoka nimuachie uhuru achakatwe tani yake isiwe taabu
Nadra snAnaweza kuwa mbovu na wakakupigia mkuu wangu
Chanzo cha wanawake wengi sasa hivi ku cheat ni sisi wanaume. Nazungumzia Bongo hasa Dar. 24/7 wanawaume wanawaza ngono. Mwanamke akipita sehemu kama ana makalio makubwa kidogo tu unasikia wanaume wanakohoa. Nadhani ni ukosefu wa kazi. Watu wanazagaa na kukaa vikundi bila shughuli. Nchi za wenzetu mtu ukiingia kazini uko bussy mno na ukitoka unataka kwenda nyumbani.Sababu kubwa ya jupigwa nini ? Inajulikana wasichana wakiwa mtu kueleweka wanatulia kuwa royal shida hutokea njianii sababu kubwa nini ??kosa ni wanaume kuanza cheat....wao wanavumilia ......wakishindwa hulipa kisasi kikubwa....na kuhamia upande wa pili..mmmm mpo ?
Sasa mbona ulikataa ujinga wako mwanzoni?Umbwa kokoooo....tena ....kidhungu ndio lugha natumia kwenye daily operations zangu past 23yrs now.....its common human error and mistake .....
Umelazimisha.....nimeacha iende...!Sasa mbona ulikataa ujinga wako mwanzoni?
Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji chako kichwa!No. Naona kwa washikaji
Nimecheka sana eti "kataa mwamba..."Kapiga mke wa mtu tena aliyeanza kumzengea tangu anaolewa tu. Kataa mwamba kama ninasema uongo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Msimamo kama wangu , nikijua tu namwacha huruUkioa mwanamke mzuri jiandae kisaikolojia kuchapiwa. Mbaya zaidi midingi yenye hela ndefu ikipenda chombo chako watapenyeza rupia na mwanamke akiwa laini unachapiwa asubuhi tu. Ukioa mbaya ukidhani hatavutia wahuni nako ni yaleyale tu kuna muhuni atavutiwa naye na atataka kumuonjea mpiko. Mbaya zaidi akipata mimba ya muhuni hutajua haraka ni mpaka baadae sana itakuja kugundulika mwanamke alichapwa nje akanasa mimba na kuzalia ndoani. Mtoto hatafanana na baba labda afanane na mama ili kuficha soo. Ukute nyie wote ni weupe mtoto atoke ni mweusi hapo siri itavuja haraka. Baba na mama ni weusi mtoto atoke ni mweupe hiyo nayo imekaaje? Ukioa bora ujue hauko peke yako kuna wengine pia wanamchakata mke wako kwa siri, qmmamae nikigundua mchezo huo kuna mawili, jela na hospitalini sitaki kwenda, nafukuza mke au naondoka nimuachie uhuru achakatwe tani yake isiwe taabu
Kama msimamo wako ndo huu, usitafute wakali, maana utaacha mno na UTAFILISIKAMsimamo kama wangu , nikijua tu namwacha huru