makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Je wanawake wote waliotombwa, umewatomba wewe..We umeweza kumtom* una nini hata sisi tushindwe tuna nini? Kama bado bikra sawa ila kama ishaliwa basi itaendelea kuliwa na kila mwenye nia ya dhati.
Siyo kweli. Wanawake wazuri wengi viruka njia. Wanatongozwa sana jeuri zimewajaa .Kama mwanamke mwenyewe ni malaya utapigiwa tu, ila ikiwa hana tabia hiyo wahuni watamchora chini hawatampata
I agreeMwanamke hata awe na msimamo wa CUF hawezi kukatalia wanaume 10 wanaomtongoza lazma beki zitaachia tu mmoja apenyeπ
Aaaah weee hawa watu tunawato* sana mkuu mimi na wanangu hapa maeneo ndo mishe zetu hizoπ€£Je wanawake wote waliotombwa, umewatomba wewe..
Mwanamke kukupa nyapu ni apende yeye.
ni kweli kwa kuwa wengi huwataka wawaonjee mpiko hata kama wapo ndoani, hujiona ni wazuri kuliko wenzaoSiyo kweli. Wanawake wazuri wengi viruka njia. Wanatongozwa sana jeuri zimewajaa .
Mwanamke kukupa nyapu ni apende yeye.
Hili nenoKutombwa au kutokutombwa ni maamuzi ya mwanamke mweyewe. Wapo wemye misimamo yao, wapo pia maharage ya mbeya.
GoodPesa unazompa inabidi ziwe zile zilizotengwa kwa ajili yake na sio kutumia hela ya biashara au mshahara
UmenenaKama wanawake vichaa wanapewa mimba mitaani mtu yoyote kucheat anaweza kucheat awe mzuri au mbaya!
Kucheat ni Tabia ya mtu haitegemei uzuri au ubaya wake!
Cha msingi pata mtu anaejua thamani ya kutocheat na hasara za kucheat. Usiangalie kigezo cha uzuri au ubaya wa mtu kama sababu ya kucheat au kutokucheat. Utalia
All in all ishi Kwa kutegemea lolote kutoka kwa Binadamu yoyote! Ishi na mke wako ukitegemea anaweza kukucheat, kukudanganya au lolote Lile. JIANDAE Kwa VITA Muda WOWOTE!
DuhKutombewa ni kawaida tu yani usijistress.
Unawaua tu au sio?! Huoni hasara na maafa utakayosababisha ndani ya ndoa na familia za wenzio?! π Tafakari na fikiria kwa kina maumivu atakayoyapata mwenzio ambaye ameoa mkewe kihalali wewe unamgongea alafu na maradhi umempa πππAhahahπ€£ unachekesha mkuu, dini gani hiyo hawatoi mizigo? Maana mimi nina dem kila dini kila dhehebu.
NITAJIBU NDUGUπUnawaua tu au sio?! Huoni hasara na maafa utakayosababisha ndani ya ndoa na familia za wenzio?! π Tafakari na fikiria kwa kina maumivu atakayoyapata mwenzio ambaye ameoa mkewe kihalali wewe unamgongea alafu na maradhi umempa πππ
UTAULIZWA NDUGU