Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Umenena
 
Jinsia Ke akishakuwa mzuri kila kidume atataka kumla ikiwemo mm, so juhudi zinakuwa nzito kuliko uwezo wa huyo mwanamke mwisho wa cku analiwa tuu
 
Ahahah🀣 unachekesha mkuu, dini gani hiyo hawatoi mizigo? Maana mimi nina dem kila dini kila dhehebu.
Unawaua tu au sio?! Huoni hasara na maafa utakayosababisha ndani ya ndoa na familia za wenzio?! πŸ˜” Tafakari na fikiria kwa kina maumivu atakayoyapata mwenzio ambaye ameoa mkewe kihalali wewe unamgongea alafu na maradhi umempa πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

UTAULIZWA NDUGU
 
Inategemea naww unao ukali katika eneo gani vinginevo km ww pia huna ukali wowote utapigiwa sana
 
NITAJIBU NDUGUπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…