Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Mwingine anakuaminisha kuwa hatongozwi hasumbuliwi hii ni kukupa moyo. Binafsi naona kazini wapo ambao wanaweza kukutengenezea mazingira mnyooko na ni wake za watu.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.
 
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu ambaye atakushangaza miaka yote. Huko makazini hapafai kabisa kwa ushenzi wa watoto wa kike na umalaya.
Hili mimi nina ushahidi
Mke wa mtu anakwambia wewe mzembe na kaamka na mumewe huko kwake unajiuliza huku tena anataka nini
 
Duh
 
Chanzo cha wanawake wengi sasa hivi ku cheat ni sisi wanaume. Nazungumzia Bongo hasa Dar. 24/7 wanawaume wanawaza ngono. Mwanamke akipita sehemu kama ana makalio makubwa kidogo tu unasikia wanaume wanakohoa. Nadhani ni ukosefu wa kazi. Watu wanazagaa na kukaa vikundi bila shughuli. Nchi za wenzetu mtu ukiingia kazini uko bussy mno na ukitoka unataka kwenda nyumbani.
 
Huwezi kuoa mwanamke mzuri wewe!!
Wache walioa wafurahie matunda ya uumbaji.
Wewe pambana na sura yako petsonal. Ulichagua mwenyewe
 
Msimamo kama wangu , nikijua tu namwacha huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…