MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Najiuliza kwanini? Yaani anaweza kuwa mwaminifu mwanzoni, ukampa Kila kitu na bado wanapigwa na watu. KULIKONI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshapigwa tukio nn?Najiuliza kwanini? Yaani anaweza kuwa mwaminifu mwanzoni, ukampa Kila kitu na bado wanapigwa na watu. KULIKONI?
No. Naona kwa washikajiUmeshapigwa tukio nn?
WapiiiTayari 😃
Ndo mpango. Tafuta pesa, piga mashine uipendayo. Usiweke kambi sehemuNo. Naona kwa washikaji
Ushapigwa na kitu kizito, au sio wewe?Wapiii
Na washikaji wanaona mke wako anapigwa.No. Naona kwa washikaji
Acheni kusingizia washkaji, mtaacha lini hii tabia.No. Naona kwa washikaji
Hata wa hivi wanapigiwaaaNdo mpango. Tafuta pesa, piga mashine uipendayo. Usiweke kambi sehemu
Hivi hiyo kumpa kila kitu ndio kumpa nini na nini? Au unamaanisha kumpa kile kilicho ndani ya uwezo wako?Najiuliza kwanini? Yaani anaweza kuwa mwaminifu mwanzoni, ukampa Kila kitu na bado wanapigwa na watu. KULIKONI?
Anamaanisha kumpa yote, ile iliyojificha kwenye boxerHivi hiyo kumpa kila kitu ndio kumpa nini na nini? Au unamaanisha kumpa kile kilicho ndani ya uwezo wako?
Seems bado hujafika huko kupewa kila kitu mamilooHivi hiyo kumpa kila kitu ndio kumpa nini na nini? Au unamaanisha kumpa kile kilicho ndani ya uwezo wako?
Kapiga mke wa mtu tena aliyeanza kumzengea tangu anaolewa tu. Kataa mwamba kama ninasema uongo.Umeshapigwa tukio nn?