Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Sijawahi kuwa na hiyo teamWewe si team mpwayungu village
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuwa na hiyo teamWewe si team mpwayungu village
Utumishi wa umma kwa kada ipi? Tuanzie hapo😅Hii sasa ni too much
Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja. Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Hahahah maza kawapa jina la Maafisa usafirishaji, so marufuku kuwaita boda, ajira mpya hiyo 😅😅wanaitwa maafisa usafirishaji a.k.a bodaboda.
Mimi ni mlinzi wa umma.Utumishi wa umma kwa kada ipi?tuanzie hapo😅
Eti sasa wanajiita ni MAAFISA USAFIRISHAJI!!!((TO'S)Shenzi taipu! Huu uzi wako ndo uzi bora wa mwaka.
Naomba waambie hao bodaboda tuliowaajili kuwa wawe na adabu.Nipo nafanya mikakati ya kuagiza premio kali kabisa toka Japan
AhahahahaEti sasa wanajiita ni MAAFISA USAFIRISHAJI!!!((TO'S)
Vita dhidi ya Maafisa usafirishaji vs waalimu(primary na secondary)😅😅Naona hii vita imefikia patamu! Kwani na wewe ni mwalimu? Maana hii vita ni kati ya bodaboda+bajaj vs walimu.
Na mwanzilishi wa hii vita ni Mh. Godbless Lema wa Chadema.
Hahahaha maTO's, salute to them, Leo wamemsindikiza maza salama pale ArumeruEti sasa wanajiita ni MAAFISA USAFIRISHAJI!!!((TO'S)
Na UVCCM!! Leo walikuwa wakisubiria kwa hamu sana mama Samia amzodoe Lema kwa kauli yake ile juu ya hao MAAFISA USAFIRISHAJI!! Kama vile kuchochea moto!! Naona ameona ni jambo la kipuuzi tu.Hahahaha maTO's,salute to them,Leo wamemsindikiza maza salama pale Arumeru
Usiumize kichwa bwashee, vijana wa kitanzania hawajitambui, Chongolo yuko sahihi kabisaHii sasa ni too much
Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja. Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Patamu kwelikweli..Naona hii vita imefikia patamu! Kwani na wewe ni mwalimu? Maana hii vita ni kati ya bodaboda+bajaj vs walimu.
Na mwanzilishi wa hii vita ni Mh. Godbless Lema wa Chadema.
Kama kipato chako hakivuki milioni 23 (USD 10000) kwa mwaka jua kwamba wewe bado ni maskini tena fukara. Watumishi wa umma karibu wote ni maskini. Mtumishi wa umma anapomkashfu bodaboda ajue kabisa anamkashfu maskini mwenzake. Kuliko kutupiana maneno bora kila mmoja awe bize na mambo yake kwasababu mchonganishi wenu LEMA anakula zake bata kwa mabeberu huko. Acheni kuwa wajingaHii sasa ni too much
Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja. Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Hahahah so hawachekan kuanzia mazingira magumu ya kazi,mavazi etc 😅😅😅🏃