Umwandikie nan[emoji1787]Mkuu wakikujibu nistue niandike barua chap nikanunue boda
Kwani kakwambia yeye ni mwalimu?Unafundisha shule gani mkuu?
Hiyo bato Ina pande mbili tu 😅😅Kwani kakwambia yeye ni mwalimu?
Kama unachangamoto ya madai ya bima tuwasiliane kwa ushauri zaidi.Bima ya nini mkuu?
Mwalimu hiyo sio hoja hoja ni kua kwenye mshahara wako ukiugawa unapata kwasiku ni shingapi?sema boda nihatari sana.wanavyo koswa koswa na matata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hadi huruma.
kufa kwao nisekunde tuu utaskia mwanetu kavuta.ukiuliza kisa kapata ajali.
mWAJIRI WANGUUmwandikie nan[emoji1787]
Kustaafu u-boda boda (Maafisa usafirishaji) ni kupata kilema au kufa. Mi naomba kuonyeshwa mtoto wa Kiongozi yoyote, hata wa nyumba ndogo ya viongozi ambaye ni bodaboda (mbado, nasema mbado).Hii sasa ni too much
Unamfananishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es Salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajali kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Kajenga kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.
Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo