MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Daaah hio kichwa cha habari sikutegemea 😅 😅 😅
Watakuambia "mbona sisi mara kadhaa tumefika mpaka hatua ya robo fainali!! Halafu tuliweza kumleta Caesar Manzoki kuja kutusalimia siku ya uchaguzi wa viongozi wetu" 😁
Hawa itakuwa mbuzi wa bonde la Msimbazi au wa kichina 🤣🤣🤣Mbona mbuzi Wa hapa jirani wanataga, ni kitu adimu?
View attachment 2795587
..Hiyo picha ina nini cha zaidi?
Kulu daba katika ubozi wakoWatakuambia "mbona sisi mara kadhaa tumefika mpaka hatua ya robo fainali!! Halafu tuliweza kumleta Caesar Manzoki kuja kutusalimia siku ya uchaguzi wa viongozi wetu" [emoji16]
Subiri nikuletee ya kombe letu la mwakarobo na kufa kiume
AaaaahaaaWatakuambia "mbona sisi mara kadhaa tumefika mpaka hatua ya robo fainali!! Halafu tuliweza kumleta Caesar Manzoki kuja kutusalimia siku ya uchaguzi wa viongozi wetu" 😁
Na wakija wale mateja, watatumia yale maneno ya yule mungu wao mropokaji na mwenye mdomo mchafu kama wao ya "wenye akili huko kwenu ni wawili tu" 😁
Hongera mkuu
Hiyo ndiyo medali na kombe lenu ? 🤣🤣 Kweli makolo no mazwazwa. Hawakukosea kuwaita mbumbumbu fcNitafutie clip ya Rais wa FIFA akisema Daima nyuma mbele mwiko
🐸 Walio na akili mnajulikana ni wangapiHiyo ndiyo medali na kombe lenu ? 🤣🤣 Kweli makolo no mazwazwa. Hawakukosea kuwaita mbumbumbu fc