Nionyeshe picha kama hii kutoka msimbazi niwaonyeshe mbuzi anayetaga

Nionyeshe picha kama hii kutoka msimbazi niwaonyeshe mbuzi anayetaga

Watoto muwe mnaelewa!! Kwenye soka medali si sehemu ya taji. Hakuna mashindano ya kugombea taji. ndiyo maana hakuna kanuni yoyote ya mashindano yoyote ya soka ambayo huainisha utoaji wa medali kama sehemu ya taji!! Hizo ni shanga tu za kumpoza mtu aliyeshindwa kubeba taji!! Ndiyo maana wenye akili zao huwa wanakataa kuzivaa!!
 
Nitajie mashindano ya soka yoyote yale duniani ambayo timu hutangaziwa kugombania medali!! Kama mnahitaji medali hamieni kwenye riadha!!
 
Back
Top Bottom