Nionyeshe picha kama hii kutoka msimbazi niwaonyeshe mbuzi anayetaga

Watakuambia "mbona sisi mara kadhaa tumefika mpaka hatua ya robo fainali!! Halafu tuliweza kumleta Caesar Manzoki kuja kutusalimia siku ya uchaguzi wa viongozi wetu" ๐Ÿ˜

Na wakija wale mateja, watatumia yale maneno ya yule mungu wao mropokaji na mwenye mdomo mchafu kama wao ya "wenye akili huko kwenu ni wawili tu" ๐Ÿ˜
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Aaaaahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ