MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
- Thread starter
-
- #21
Kuna mmoja hapo anasema wana kombe la Rais wa fifa kusema "guvu moyaaa" π€£π€£π€£Subiri nikuletee ya kombe letu la mwakarobo na kufa kiume
Aahaaaa
πΈ Walio na akili mnajulikana ni wangapi
Wana hiji maccaHiyo picha ina nini cha zaidi?
Sasa mkuu tufanyeje, tupe zana tuingie siteJUKWAA LIMEHAMA.
KUTOKA ASUBUHI MBAKA JIONI NI KUBISHANA SIMBA NA YANGA.
NANI AMEWALOGA WATANZANIA.
INASIKITISHA SANA.
ππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaah hio kichwa cha habari sikutegemea [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Watoto muwe mnaelewa!! Kwenye soka medali si sehemu ya taji. Hakuna mashindano ya kugombea taji. ndiyo maana hakuna kanuni yoyote ya mashindano yoyote ya soka ambayo huainisha utoaji wa medali kama sehemu ya taji!! Hizo ni shanga tu za kumpoza mtu aliyeshindwa kubeba taji!! Ndiyo maana wenye akili zao huwa wanakataa kuzivaa!!
Yanga walivalishwa cheni kama hii ya kijano ya GS wangu huyu hapa!!Medali bila kombe ni sawa na kuvaa cheni ya mbwa aina ya German Shepherd.
πππ€£ Hiyo hiyo Mkuu.Yanga walivalishwa cheni kama hii ya kijano ya GS wangu huyu hapa!!
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Wana hiji macca