Nipe Jina (Lako), Nikupe Jina la Kiislam Lenye Maana Sawa

Nipe Jina (Lako), Nikupe Jina la Kiislam Lenye Maana Sawa

Nina haya majina, naomba islamic version yake;
Mabula
Makoye
Msalaba
Maduka
Massawe
Mtenga
Mayunga
Lusekelo
Anyambilile
Kiswaga
Mfinanga
Luvanga


Nina jamaa nataka niwashawishi kwa kubadili majina yao kwanza.
 
View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
  1. Lucy - Lusiya
  2. John - Yahya
  3. Mark - Markus
  4. Mary - Maryam
  5. Joseph - Yusuf
  6. Peter - Butrus
  7. Anna - Hannah
  8. Elizabeth - Alizabet
  9. Andrew - Andrawus
  10. Michael - Mika'il
  11. David - Dawud
  12. Esther - Ishtar
  13. James - Yakub
  14. Martha - Marta
  15. Luke - Lukas
  16. Rebecca - Rabiqa
  17. Paul - Bulus
  18. Sarah - Sara
  19. Timothy - Timotheo
  20. Ruth - Ruta
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Mkishiba pilau uwa mnasumbua
 
Samahani, sina uhakika kuhusu jina "Maduhu". Unaweza kuniambia asili ya jina hilo au maana yake ili niweze kukusaidia kupata majina mengine yanayofanana na hayo?
Maduhu yaani“ mauchi“
 
👎👎👎
Na wewe umepewa akili, hata kama mtu ni mwenye busara, anajua, changanya na zako
Sasa hutakiwi kukata kabisa kusema hilo ni jina la Kiarabu wakati huna Elimu hiyo.

Fanyeni utafiti vijana acheni miteremko, mnadanganya watu na nyinyi pia mnajidanganya.
 
Sasa hutakiwi kukata kabisa kusema hilo ni jina la Kiarabu wakati huna Elimu hiyo.

Fanyeni utafiti vijana acheni miteremko, mnadanganya watu na nyinyi pia mnajidanganya.
Brother, hatupo serious sana, maana hatuna haja ya kubadili majina yetu..
Wanasema "it's just for fun"
Kwaiyo hili jambo usilitilie uzito kiivo
Fanyeni utafiti vijana acheni miteremko
Kuhusu utafiti naomba unilipe/unipe funds kwa ajili ya hiyo shughuli, natamani sana kupata kitu cha kufanyia research ukinipa iyo kazi ntakuletea world class results
 
Back
Top Bottom