Nipe ndo nikupe!!! Butter trade Bado haijaisha kumbe!!!

Nipe ndo nikupe!!! Butter trade Bado haijaisha kumbe!!!

Qalbi

New Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2
Reaction score
5
Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta.
Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext.

Mimi..." Dear X, kwema".
Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe".
Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k naumwa niende hospital"
Ex... " 1k Haina shida, fanya basi mambo yetu nimeyamis hataree".

Khaa!! Yaani kumpa mtu 1k mpaka akupe kitu!! Mbona mnazingua nyie Ma X.

Mnatafuta Hela za nini sasa kama hamuwezi kuzitoa kumsaidia EX wako.

Aliniboa kinoma. Mtu Hela unazo 1k nayo kitu gani kumpa mwenzio.
 
Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta.
Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext.

Mimi..." Dear X, kwema".
Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe".
Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k naumwa niende hospital"
Ex... " 1k Haina shida, fanya basi mambo yetu nimeyamis hataree".

Khaa!! Yaani kumpa mtu 1k mpaka akupe kitu!! Mbona mnazingua nyie Ma X.

Mnatafuta Hela za nini sasa kama hamuwezi kuzitoa kumsaidia EX wako.

Aliniboa kinoma. Mtu Hela unazo 1k nayo kitu gani kumpa mwenzio.
Tafuta hiyo 1k ya kwako mkuu
 
Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta.
Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext.

Mimi..." Dear X, kwema".
Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe".
Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k naumwa niende hospital"
Ex... " 1k Haina shida, fanya basi mambo yetu nimeyamis hataree".

Khaa!! Yaani kumpa mtu 1k mpaka akupe kitu!! Mbona mnazingua nyie Ma X.

Mnatafuta Hela za nini sasa kama hamuwezi kuzitoa kumsaidia EX wako.

Aliniboa kinoma. Mtu Hela unazo 1k nayo kitu gani kumpa mwenzio.
Lecturer wangu wa micro-economics alisema kwamba there is no free lunch...
Ukipewa kitu hata kama aliyekupa kwa muda huo hajakwambia utalipa, jua malipo yake yapo tu hata kama hujajua ni kwa njia gani na ndiyo maana sipendi mtu anifanyie wema sana huwa ninakuwa uncomfortable
 
Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta.
Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext.

Mimi..." Dear X, kwema".
Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe".
Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k naumwa niende hospital"
Ex... " 1k Haina shida, fanya basi mambo yetu nimeyamis hataree".

Khaa!! Yaani kumpa mtu 1k mpaka akupe kitu!! Mbona mnazingua nyie Ma X.

Mnatafuta Hela za nini sasa kama hamuwezi kuzitoa kumsaidia EX wako.

Aliniboa kinoma. Mtu Hela unazo 1k nayo kitu gani kumpa mwenzio.
Aisee, ulimuomba elfu moja!? Hata mimi nisingekupa. Uniombe elfu moja na unasema ya matibabu, matibabu yapi hayo ya 1k? Hata nauli tu haitoshi! Huenda alihisi umechanganyikiwa.
 
Daah!! Naandika kwa masikitiko makubwa hichi kilichonikuta.
Week ilopita bhana uchumi uliyumba, nikasema ngoja nimcheki Ex wangu aniwezeshe kidogo, nikaamua nimtext.

Mimi..." Dear X, kwema".
Ex.... " Kwema sanaa, vipi nawe".
Mimi ... " Niko poah , ila nimechalala hataree , niwezeshe basi 1k naumwa niende hospital"
Ex... " 1k Haina shida, fanya basi mambo yetu nimeyamis hataree".

Khaa!! Yaani kumpa mtu 1k mpaka akupe kitu!! Mbona mnazingua nyie Ma X.

Mnatafuta Hela za nini sasa kama hamuwezi kuzitoa kumsaidia EX wako.

Aliniboa kinoma. Mtu Hela unazo 1k nayo kitu gani kumpa mwenzio.
Alikuona cheaper acha uliwe tu uliomba elfu 1 kwa x wako ulitaka ujibiwe nini kama sio kuchakatwa.
 
We nawe hujui kuomba hela, ex haombwi kama mjomba ako.

Ngoja nikufunde kidogo.....ex unamtext unajifanya umemmiss, unaregret nyie kupotezana....afu unajifanya hujui hata mliachanaje achanaje.....unasingizia wachawi waliingilia penzi lenu.....ila hufikirii kuna aliye bora zaidi yake, yani hutapata kama yeye (hapo ushaattack his ego🤣🤣🤣, Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ye nani achomoe)
Afu ndo unamalizia nna shida ya 50k, na unaahidi utairefund (wanaume wanajua kuna njia nyingi za kurefund🤣🤣🤣)
Akituma unamblock.....karibu mjini.
 
We nawe hujui kuomba hela, ex haombwi kama mjomba ako.

Ngoja nikufunde kidogo.....ex unamtext unajifanya umemmiss, unaregret nyie kupotezana....afu unajifanya hujui hata mliachanaje achanaje.....unasingizia wachawi waliingilia penzi lenu.....ila hufikirii kuna aliye bora zaidi yake, yani hutapata kama yeye (hapo ushaattack his ego🤣🤣🤣, Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ye nani achomoe)
Afu ndo unamalizia nna shida ya 50k, na unaahidi utairefund (wanaume wanajua kuna njia nyingi za kurefund🤣🤣🤣)
Akituma unamblock.....karibu mjini.
Tapeliiiiiiiii 😂
 
We nawe hujui kuomba hela, ex haombwi kama mjomba ako.

Ngoja nikufunde kidogo.....ex unamtext unajifanya umemmiss, unaregret nyie kupotezana....afu unajifanya hujui hata mliachanaje achanaje.....unasingizia wachawi waliingilia penzi lenu.....ila hufikirii kuna aliye bora zaidi yake, yani hutapata kama yeye (hapo ushaattack his ego🤣🤣🤣, Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ye nani achomoe)
Afu ndo unamalizia nna shida ya 50k, na unaahidi utairefund (wanaume wanajua kuna njia nyingi za kurefund🤣🤣🤣)
Akituma unamblock.....karibu mjini.
Utaongea yote nitavimba bichwa, ila ukishasema 50k hata kama lilivimba kama puto linanywea..
 
We nawe hujui kuomba hela, ex haombwi kama mjomba ako.

Ngoja nikufunde kidogo.....ex unamtext unajifanya umemmiss, unaregret nyie kupotezana....afu unajifanya hujui hata mliachanaje achanaje.....unasingizia wachawi waliingilia penzi lenu.....ila hufikirii kuna aliye bora zaidi yake, yani hutapata kama yeye (hapo ushaattack his ego[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ye nani achomoe)
Afu ndo unamalizia nna shida ya 50k, na unaahidi utairefund (wanaume wanajua kuna njia nyingi za kurefund[emoji1787][emoji1787][emoji1787])
Akituma unamblock.....karibu mjini.
Sio hawa wa sahivi, njaa kali km nn, hatoi kamwee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kuwa ombaomba, wewe sio kilema. Una miguu miwili, mikono miwili na kichwa chenye ubongo. Amka hapo kwenye kochi katafute pesa zako halali.
 
Back
Top Bottom