Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
October ipo mitandaoni hahahaKwahiyo inonyesha ccm mnavyojua kujikinga na mahovu yetu.. tukitane october 1
Ajiuzuru!!!?Wewe kama upo UVCCM au una cheo chochote ndani ya CCM au hata Serikalini inabidi ujiuzuru kwa ufupi wako wa kufikiri utamuangusha mueshimiwa, inawezekana nyinyi ndio mnaomshauri Rais, kwa hiyo unataka kuniaminisha kuwa hadaiwi tena kwa sababu ameahirisha UKUTA wake au ndio malipo yake hayo
Umepewa moja tu hahahaHali ilivo
Hakuna anayeongelea hasara gani Chadema imepata hadi sasa tangu itangaze ukutaKwell ccm akili kisoda nguvu kifaru amkumbuki hasara mliyopata kufanya matumizi ya siyo kua yalazima
Kwa hiyo mmeshatoa Rushwa tayari?.Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Kwa hiyo wanapeana Mali za Umma kwa mtindo huo?weka ushahidi bayana tujiridhishe.Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Ukuta ni sehemu tu ya kujenga na kuimarisha chama!. Sasa kama kuimarisha chama ni hasara, basi Utakuwa sahihi!Hakuna anayeongelea hasara gani Chadema imepata hadi sasa tangu itangaze ukuta
Majebere, kulijua hilo kweli ni lazima usubiri kesho?Mbowe katulizwa na NHC na Lowassa katulizwa na Kinana, game over. Haya Ben kesho wewe na wenzako wa humu JF muingie mtaani kama kweli mnacho pigania ni kwa maslahi ya watanzania. Msipo fanya hivyo ndio tutajua mnampigania Mbowe.
Tunataka tuwaone hao kina ben na salary slip wakiandamana, hapo ndio tutajua kweli sio wanafikMajebere, kulijua hilo kweli ni lazima usubiri kesho?
Mbona liko wazi sana hata kwa kipofu kulifehemu?
Uzuri Mbowe anaweza kufuja ruzuku ya chama atakavyo, nyumbu (wanachama) wanajifanya hawaoni.Ukuta ni sehemu tu ya kujenga na kuimarisha chama!. Sasa kama kuimarisha chama ni hasara, basi Utakuwa sahihi!
Mbona kama mnapinzana na mleta mada? Ukiangalia hapo ni kama kapewa option 2...ukuta ama billicans sasa ukisema serikali haibembelezi kama unakosea hivi.Serikali ya safari hii haibembelezi. Lazima anyang'anyanywe
Sasa hivi tutakopeshana kwenye vikoba tu.
Haki ya MOLA. ..WAKO KAMA WATOTO WADOGO. ..duh! Aibu!Mmesogeza goli mbele...
Oktoba tena, Chadema hamuishiwi maajabu ..