Tetesi: Nipe nikupe, chagua kuendelea na UKUTA au ubaki na Bilicanas

Tetesi: Nipe nikupe, chagua kuendelea na UKUTA au ubaki na Bilicanas

Hiki chama ni Ubatili mtupu, hivi huyu Mbowe alishaona wanachama wake ni hamnazo kiasi hiki? Kulikuwa na namna nyingi za kufanya kuhusu hii operesheni, na si kutoka kwenye kadamnasi kuwa mmeahirisha ilihali jana tu mnawahakikishia raia kuwa ukuta uko pale pale. Duh Chadema tuamini kipi kutoka kwenu????
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Duh!!!! Inabidi tuanzie hapa kupima kama huyu jamaa ni asset au liability.
 
Mbowe katulizwa na NHC na Lowassa katulizwa na Kinana, game over. Haya Ben kesho wewe na wenzako wa humu JF muingie mtaani kama kweli mnacho pigania ni kwa maslahi ya watanzania. Msipo fanya hivyo ndio tutajua mnampigania Mbowe.
na polisiccm kesho wasipoingia na magari ya washawasha na mabomu ya machozi barabarani tutajua hawajui wanachokifanya kwa mwezi moja sasa, ila wanakurupushwa kwa maelekezo toka juu
 
Kweli CHADEMA ni magwiji wa maigizo wamenichosha kabsa sina hamu nao tena.
Hii ni Intelijensia ambayo wale wafanya mazoezi wanapaswa kuiazima,Igizo lingesumbua yale makundi yote hayalali?!Kamuulize Madereva anafahamu mziki wa lile tamko
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.


Hatimae UKUTA umefikia kikomo tusubiri sinema nyingine
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Unafikiri mbowe ana shida na vijisenti vidogovidogo.
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Hatari sana ...kafa na tai yake shingoni
 
Kwell ccm akili kisoda nguvu kifaru amkumbuki hasara mliyopata kufanya matumizi ya siyo kua yalazima
Du, kwa hiyo zile pesa zilikuwa zimetolewa na CCM. Kwa akili hizi namuunga mkono Rais kuchukua watu Rwanda.
 
Hiki chama ni Ubatili mtupu, hivi huyu Mbowe alishaona wanachama wake ni hamnazo kiasi hiki? Kulikuwa na namna nyingi za kufanya kuhusu hii operesheni, na si kutoka kwenye kadamnasi kuwa mmeahirisha ilihali jana tu mnawahakikishia raia kuwa ukuta uko pale pale. Duh Chadema tuamini kipi kutoka kwenu????
Mkuu, wakisema Lowassa ni fisadi kubali tu. Kesho wakisema hamna ushahidi kuwa ni fisadi kubali tu. Ndiyo CDM hao!
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Hivi unajua unamaanisha kuwa serikali imemhonga Mbowe Bilicannas ili asiitishe ukuta?
Je una uhakika?
 
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.

Huna ulilosema mbwiga wewe! Thread yako nimya kipu.mbavu
 
Back
Top Bottom