Serikali ya safari hii haibembelezi. Lazima anyang'anyanywe
Bilicanas atanyang'anywa tu na UKUTA hakuna...sasa subirini kuona namna baadhi ya viongozi wa CHADEMA wanavyorejea CCM mmoja baada ya mwingine...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya safari hii haibembelezi. Lazima anyang'anyanywe
Hata Mimi mwenyewe niliwaza hivi hivi....Hiyo biashara ya UKUTA ndio imefika mwisho wajipange na vitu vingine na sasa jamaa ndio atawachapa kweli kweli
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Wewe nani? Hata mungu alijaribiwa.......Haaaaaaa!!!!sijaribiwi......
Haya maigizo safari hii yamekutana na kocha wa usaniiKweli CHADEMA ni magwiji wa maigizo wamenichosha kabsa sina hamu nao tena.
wewe Salary Slip kwani CRBD wamesitisha? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii