Serikali ya safari hii haibembelezi. Lazima anyang'anyanywe
Hata Mimi mwenyewe niliwaza hivi hivi....Hiyo biashara ya UKUTA ndio imefika mwisho wajipange na vitu vingine na sasa jamaa ndio atawachapa kweli kweli
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula.
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka innercircle ya FM.
Nadhani ni wakati muafaka kwa mwenyekiti kuachia kiti kwa manufaa mapana ya chama.
Wewe nani? Hata mungu alijaribiwa.......Haaaaaaa!!!!sijaribiwi......
Haya maigizo safari hii yamekutana na kocha wa usaniiKweli CHADEMA ni magwiji wa maigizo wamenichosha kabsa sina hamu nao tena.
wewe Salary Slip kwani CRBD wamesitisha? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii