Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Nyanda za juu kusini hususani Ukanda wa Ziwa Nyasa wote nachopenda kuona ni wanawake wakioga ziwani wakiwa watupu kabisa aisee ni raha mstarehe vuta picha mchana wa saa sita jua kali binti anaogolea akiwa mtupu au na chupi tu.

Kama kwenu hakuna ziwa wala mto huwezi kuelewa

Factors nyingine ni kula samaki fresh kutoka ziwani na ugali wa muhogo, hali ya hewa na utulivu.
 
Asante sana mkuu mimi hao wa klabu sio type yangu nataka kienyeji yani demu unakutana nae mtaani unamuimbisha. Kwa mfano wanafunzi wa VETA hivi or something
 

Hakika imekaa vyema,msaada namna ya kuwapata hao shombe shombe wanapatikana vijiji gani lindi mtwara
 
Hapo miyuyu karibu na ndanda wiki moja nyuma nimepigwa mwanzi mikononi wakati nipo na pikpiki ilikuwa kama saa 8 usiku
 
Naona unaendelea kudanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…