Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Sijakosea kabisa, na nimemaanisha kuishi pale mjini na sio mkoa wote kiujumla yaani huko ndanindani kama pawaga au mpwapwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu yan Dom, Iringa na mbeya imechangamka? Au umekosea kuandika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kusini, kuna watoto wadogo wa kike wamefundwa, wanajua kutoa penzi
Nimekuelewa mkuu lakini hiyo miji yote haijachangamka kote yani sio mwanjelwa,kabwe,soweto,uhindini,miyomboni Wala mashine 3,nnaiman Kuna kitu nje na kuchangamka maana hiyo ni miji iliyopoaSijakosea kabisa, na nimemaanisha kuishi pale mjini na sio mkoa wote kiujumla yaani huko ndanindani kama pawaga au mpwapwa
Asante sana mkuu mimi hao wa klabu sio type yangu nataka kienyeji yani demu unakutana nae mtaani unamuimbisha. Kwa mfano wanafunzi wa VETA hivi or somethingZaidi ya hao juhudi zako tu kikubwa si maokoto cha msingi usipende wale wa club za mtwara maana kuna mademu sana na penyewe pale me kila weekend nakula bata mtwara ama lindi Paris club hawa utasumbuana nao maana ni walevi wengine mabangai wezi deal hasa na wa kwenye vigodoro ila usipoe sana sometimes unajichanganya kati ni kushika tu mkono halafu mbinu nyingine nitakuelekeza ya kukaa karibu na DJ na Mc wa shughuli mademu watahisi umetoka nao Mjini na mziki lazima utunukiwe
Nimezaliwa na kukulia kanda ya kati ila Shule nimesoma sana kanda ya pwani ya mashariki dar na maisha ya kikazi nikatupwa kanda ya kusini na bahati nzuri field zangu nimebahatika kufika wilaya zote za mtwara lindi na ruvuma nimezizungikia zaidi ya mara kumi.sababu tatu kwanini ukanda wa kusini umeninogea sana ni AMANI,UOTO WA ASILI NA VIBE.
1.Aman;Watu wa huku ni wastaarabu sana sio rahisi kukuta wakigombana hakuna migogoro wala kesi kubwakubwa ukitoa tukio la jamaa wa madini kuuwawa sijawahi kusikia lingine matusi wanatukanana ila yanaisha juu kwa juu ni kama sehemu yao ya utani .huku hata ukiwa na tabia za seleman kushika wake za watu kwenye pombe hupigwi unaangaliwa tu hakuna wivu wa kimapenzi maana kuachana ni suala la dakika tu.
2.UOTO WA ASILI;kuanzia kipande cha kilwa kivinje ,mpara na masoko hali ya hewa ni nzuri pale kisiwani waarabu walishakula bata long time ago njoo mpaka mchinga na kijiweni kuna beach nzuri na mabaki ya watoto wa kiarabu njoo mpaka kwenye mashamba makubwa sana ya minazi ngβapa ni kuzuri lindi yenyewe iko shimoni sawa na 0 usawa wa bahari pamoja na mabonde ya Rutamba Milola na rondo plateu miliman kama uko ulata elevation ni 500 m toka USawa wa bahari.milima ya rondo inamwaga maji kuja nyangao mto lukuledi pamoja na Makonde plateau huko newala ubaridi kama ulaya chini kidogo utakutana na ndanda ukienda Tunduru Mbinga songea ndo pazuri ajabu mto ruvuma unafanya pawe na ubichi huku wamatengo na wangoni wakichapa kazi kwa ukarimu.sijakupitisha selous na kwenye corridor za tembo kwa kweli kusini haijaharibiwa mazingira yake.
3.VIBE;mangoma unayoyasikia anayapiga mr miso misondo huku nimeanza kuyaenjoy miaka mitatu nyuma huku mtwara na lindi kuna unyago shughuli ambazo zinaanza na kigodoro kinakesha kisha kesho yake unyago unachezwa watu wanaonyesha utaira kama wazee wa makoti .kunakuwa na chama kinakuja kukushika mkono. Aisee wakilewa fujo lake balaa mixer kujimwagia mavumbi ila uzuri hakuna ugomvi hata kidogo ndo maana lile vibe la mr misondo sisi huku tunaona kawaida sana hata hizo ngoma anazopiga ndo zinazorudiwa huku zilezile.
Changamoto kubwa ni upatikanaji wa vyakula jamii ya nyama za kuchoma tushazoea minadani nyama zinachomwa huku hakuna na pia maokoto sio sana maana viwanda vichache atleast vingejengwa kama vya dangote hata vitano aisee huku pangekuwa best place kuishi .
shumaaramu.Waitu shumaaramu empango!
Lindi na Mtwara ni Kulwa na DottoNitakuja Lindi kaka unionyeshe machaka shida ntakupata vipi na wewe pm haisomi. Halafu Lindi wameharibika yani ni warahisi kama wa dada wa Mtwara au wana Anza ngono wakiwa bado wadogo?
π€£π€£π€£π€£ nimecheka kifala. Namsubiria majibu piaHakika imekaa vyema,msaada namna ya kuwapata hao shombe shombe wanapatikana vijiji gani lindi mtwara
Kama leo eti? KanapulizaSema kakiamua kumwaga n mwendo wa kuganda
Yaan n freezerKama leo eti? Kanapuliza
πππ Waitu nyegera gei.shumaaramu.
Hapo miyuyu karibu na ndanda wiki moja nyuma nimepigwa mwanzi mikononi wakati nipo na pikpiki ilikuwa kama saa 8 usikuNiliingia mule ndani kwenye vyanzo vyao pazuri sana nikafika kwenye bwawa fulani wanalozalisha umeme kwa ile miti mpaka
Maji yamekuwa rangi ya kijani nikapita kwenye workshop yao wanapochapisha vitabu kisha kiwanda cha maji na nikajipatia wine mbili ya rozela na ya mabibo sh 9000 chupa alafu kuna kitimoto ya kuoka samahani kama wewe ni muislam
Mumetahiriwa? Kwasababu ninyi ni wachafu kama nguruwe vileVIP nikiwazalisha tu na kusepa inakubalika nije kuleta mbegu za kazikasini huko
Naona unaendelea kudanganyaZaidi ya hao juhudi zako tu kikubwa si maokoto cha msingi usipende wale wa club za mtwara maana kuna mademu sana na penyewe pale me kila weekend nakula bata mtwara ama lindi Paris club hawa utasumbuana nao maana ni walevi wengine mabangai wezi deal hasa na wa kwenye vigodoro ila usipoe sana sometimes unajichanganya kati ni kushika tu mkono halafu mbinu nyingine nitakuelekeza ya kukaa karibu na DJ na Mc wa shughuli mademu watahisi umetoka nao Mjini na mziki lazima utunukiwe