Nipeni majibu kuhusu hawa waturuki

Nipeni majibu kuhusu hawa waturuki

Hapo nyuma kulikua na wimbi kubwa la nyama za waturuki wanazogawa Bure


Ingawa saivi zipo ila si kwa wingi km mwaka Jana

Sijui na nyie mmekutana na hzo habari, ktk zunguka yangu vijijini nimekutana nazo sana kia's kwamba baadhi ya mabucha walifunga biashara kwa sababu nyama za Bure zipo nje nje


Ivi Nini dhamira Yao kugawa nyama Bure kias kile
🔹Epuka Sana kula nyama za matambiko
🔹Kiasili watu wa middle east na far east matambiko Yao ni kuchinja wanyama hai na kuwagawia watu ( hasa hasa maskini wale) kwa kufanya hivyo wataendelea kuwa matajiri na wewe uliyekula nyama hiyo utaendelea kuwa maskini fukara wa kutupwa

🔹Hili limetokana na ibada za Miungu wa huko na bahati mbaya Sana linakuwa practiced hata kwenye dini kwa kuwa dini hizo kuu mbili za abahamic zilianzoa sehemu ambazo walikuwa wanafanyaatambiko ya kuchinja

🔹
Wakristu ibada hizo za kuua wanyama walishaachana nayo ila Kuna dini inayoenzi Mila hizo za zamani bado inaziendeleza
 
Wewe hujui angenda za mashetani hawa. Muda utakujulisha
Ya kwamba nyinyi mna haki ya kusambaza ugaratia wenu ila waislam hawana haki ya kusambaza dini yao na kufanya mambo kwa misingi ya dini yao?

Hivi nyinyi warokole wa bongo mna matatizo gani hasa na waislam ,mbona mmejaza chuki isiyo mithirika dhidi ya waislam tatizo nini hasa?
Kuna haja kubwa ya serikali kuanza kuyachunguza haya makanisa ya kirokole yanayo chipuka kama uyoga tofauti na hapo watu tutaanza kunyimana mpaka maji ya kunywa kisa dini.
 
Ya kwamba nyinyi mna haki ya kusambaza ugaratia wenu ila waislam hawana haki ya kusambaza dini yao na kufanya mambo kwa misingi ya dini yao?

Hivi nyinyi warokole wa bongo mna matatizo gani hasa na waislam ,mbona mmejaza chuki isiyo mithirika dhidi ya waislam tatizo nini hasa?
Kuna haja kubwa ya serikali kuanza kuyachunguza haya makanisa ya kirokole yanayo chipuka kama uyoga tofauti na hapo watu tutaanza kunyimana mpaka maji ya kunywa kisa dini.

View: https://x.com/AzatAlsalim/status/1893619149714198921
 
Hapo nyuma kulikua na wimbi kubwa la nyama za waturuki wanazogawa Bure


Ingawa saivi zipo ila si kwa wingi km mwaka Jana

Sijui na nyie mmekutana na hzo habari, ktk zunguka yangu vijijini nimekutana nazo sana kia's kwamba baadhi ya mabucha walifunga biashara kwa sababu nyama za Bure zipo nje nje


Ivi Nini dhamira Yao kugawa nyama Bure kias kile
Hata tiGo wanagawa bure bando ili ujiunge na kampuni kimtandao. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Waturuki na Uislamu.
 
Sadaka, ukiwa na dhiki huwezi kuamini kama kuna binadamu wanagawa nyama bure.

Wipers kibaha ukipima macho kama una mtoto wa jicho unafanyiwa oparesheni bure, wafadhili wanakulipia wao million 3 na miwani unapewa.

Hii huduma ipo mpaka kesho, hakuna maskini ataiona pepo tumejaa roho mbaya tu.
Mkuu hii wipers ni hospital ama?
 
Ni sababu ya imani ya dini ya kiislamu, wamehimizwa watu watoe sadaka, mara nyingi nyama hizo hutolewa katika sikukuu ya kuchinja, huko kwao Uturuki wana taasisi, kuna watu wanachanga pia, kusaidia wasiojiweza. Hivyo katika siku hiyo wanachinjwa ng'ombe wengi sana.

Ukiachana na waturuki, hata watu wa kawaida huwa wanachinja, na unaweza kuwagaia jirani zako ambao hawajiwezi ili nao washerehekee vema sikukuu.
Sasa mbona inakuwa ni kila siku. Je; kila siku ni sikukuu ya kuchinja? Je, ni kweli kwamba wanaogawiwa nyama kila siku ni wale wasiojiweza tu? Ufafanuzi au Maelezo hayajaridhisha bado.
 
Ya kwamba nyinyi mna haki ya kusambaza ugaratia wenu ila waislam hawana haki ya kusambaza dini yao na kufanya mambo kwa misingi ya dini yao?

Hivi nyinyi warokole wa bongo mna matatizo gani hasa na waislam ,mbona mmejaza chuki isiyo mithirika dhidi ya waislam tatizo nini hasa?
Kuna haja kubwa ya serikali kuanza kuyachunguza haya makanisa ya kirokole yanayo chipuka kama uyoga tofauti na hapo watu tutaanza kunyimana mpaka maji ya kunywa kisa dini.
Unauwa Mende Kwa Nyundo?
Ndani Ya Quran Allah Alishatutonya Kuhusu Makafiri Kuwa Na Chuki Dhidi Yetu Waislam.Tena Hii Unayoiona Ni Ndogo Kuliko Waliyoyaficha Nafsini Mwao.
 
Sasa mbona inakuwa ni kila siku. Je; kila siku ni sikukuu ya kuchinja? Je, ni kweli kwamba wanaogawiwa nyama kila siku ni wale wasiojiweza tu? Ufafanuzi au Maelezo hayajaridhisha bado.
Hiyo ya kila siku sijawahi kuona,
Lakini hata kama ipo kuna ubaya ganj mtu akaamua kusaidia sababu ya uwezo wake unaruhusu.

Kama mtu anagawa sadaka, basi sadaka inapaswa ielekezwe kwa wenye uhitaji, yatima, wasafiri, masikini, na ikiwa kwako kuna wenye shida basi ni vema ukaanza na ukoo wako.
 
Hiyo ya kila siku sijawahi kuona,
Lakini hata kama ipo kuna ubaya ganj mtu akaamua kusaidia sababu ya uwezo wake unaruhusu.

Kama mtu anagawa sadaka, basi sadaka inapaswa ielekezwe kwa wenye uhitaji, yatima, wasafiri, masikini, na ikiwa kwako kuna wenye shida basi ni vema ukaanza na ukoo wako.
Mkuu; Fuatilia mikoani au katika Wilaya e.g. Mkoa wa Manyara wilaya ya Kiteto.
 
Sasa mbona inakuwa ni kila siku. Je; kila siku ni sikukuu ya kuchinja? Je, ni kweli kwamba wanaogawiwa nyama kila siku ni wale wasiojiweza tu? Ufafanuzi au Maelezo hayajaridhisha bado.
Ni sadaka.

Sadaka ni toleo la hiari linalotolewa kwa ajili ya Allah kwa nia safi ya kusaidia wengine na kujipatia radhi zake.

Sadaka haina wakati maalumu. Wakati ama mahala popote ikiwa wahitaji wapo unaruhusiwa kufanya.
 
Hapo nyuma kulikua na wimbi kubwa la nyama za waturuki wanazogawa Bure


Ingawa saivi zipo ila si kwa wingi km mwaka Jana

Sijui na nyie mmekutana na hzo habari, ktk zunguka yangu vijijini nimekutana nazo sana kia's kwamba baadhi ya mabucha walifunga biashara kwa sababu nyama za Bure zipo nje nje


Ivi Nini dhamira Yao kugawa nyama Bure kias kile
Singida wamejaa telee
Ni mwendo wa kuchinja kondoo tuu
Kule muhawa wana zizi la kondoo
 
Back
Top Bottom