Nipeni majibu kuhusu hawa waturuki

Nipeni majibu kuhusu hawa waturuki

Mkuu nimewapata kumbe wanaitwa WIPAHS
Muelekeze hapo akipanda gari ashuke mizani ya zamani kibaha konda yoyote ukimuambia nishushe hospitali ya macho wanajuwa kituo.

Ukishuka bodaboda buku tu, ukifika hapo hospitali registration na vipimo haizidi elfu 20, ukikutwa una cataract mtoto wa jicho unapewa appointment siku ya kuja kulazwa na kufanyiwa surgery bure gharama zinalipiwa na wafadhili, chakula bure na miwani bure na dawa bure.

Daktari Umbaro ni daktari bingwa wa Macho ametokea Ndanda mission kwa Wajerumani kwahiyo wana daktari bingwa wa kuaminika.
 
Sasa mbona inakuwa ni kila siku. Je; kila siku ni sikukuu ya kuchinja? Je, ni kweli kwamba wanaogawiwa nyama kila siku ni wale wasiojiweza tu? Ufafanuzi au Maelezo hayajaridhisha bado.
Ile ni misaada kama misaada mingine. Mfano USAID ilivyokuwa inatoa ARV kama misaada kila siku, basi zipo taasisi ambazo hutoa misaada ya chakula kwa wasio na uwezo. ( halazimishwi mtu kuchukua misaada ule)
Hata hivyo wao naona Mara nyingi wanatoa TU hao ng'ombe ila kuchinja, kugawa ni wabongo wenyewe.
Pia wapo wanaogawa chakula,
 
Ile ni misaada kama misaada mingine. Mfano USAID ilivyokuwa inatoa ARV kama misaada kila siku, basi zipo taasisi ambazo hutoa misaada ya chakula kwa wasio na uwezo. ( halazimishwi mtu kuchukua misaada ule)
Hata hivyo wao naona Mara nyingi wanatoa TU hao ng'ombe ila kuchinja, kugawa ni wabongo wenyewe.
Pia wapo wanaogawa chakula,
Huku umasaini ndani ndani huku mbuzi na kondoo soon watakuwa kalas!
Halafu pia Hakuna Utambuzi wa Walengwa bali ni kila ajaye hupata mgawo.
 
Aljazeera nilizoom :
Wahindi nao hufanya hivyo.
Kibaya Kuna eneo lao la ibada ya siri wamelitenga karibu na mti hapo ndipo huenda na Mbuzi wanawasemea maneno wanayojua wao Kisha kisu, nyama wao hawali wanakugeeni nyie wafanyakazi.

Unajua kwanini watu wanapewa 4000 per day na wanakomaa tu hawaondoki Miaka nenda Rudi ?
Afu watu hao hao wanajikuta watu wa mipango na bajeti kwenye hiyo buku 4 wanazopewa.

Kataa Sadaka zao.
 
Sasa mbona inakuwa ni kila siku. Je; kila siku ni sikukuu ya kuchinja? Je, ni kweli kwamba wanaogawiwa nyama kila siku ni wale wasiojiweza tu? Ufafanuzi au Maelezo hayajaridhisha bado.
Hata kama angekuwa ana toa baada ya dakika 1 ni sawa tu.
Ndani ya uislamu unapo kuwa na mali ujue kuwa wengine wenye haki juu ya hiyo mali yako.
Na ndio maana waasilam huwa wanatoa misaada kwa wahitaji tofauti na nyinyi ambao sadaka mnapelekea wachungaji wakanunue magari na kuishi maisha ya anasa wakati kuna mamilioni ya wahitaji.
 
Kwa ninavojua mimi maana nmewauzia sana mbuzi wale yapi merkez......kwa mnyama huwa wanataka damu tu kwa ajili ya tambiko hiyo nyama wanagawa kwa sababu haina kazi
 
Hata kama angekuwa ana toa baada ya dakika 1 ni sawa tu.
Ndani ya uislamu unapo kuwa na mali ujue kuwa wengine wenye haki juu ya hiyo mali yako.
Na ndio maana waasilam huwa wanatoa misaada kwa wahitaji tofauti na nyinyi ambao sadaka mnapelekea wachungaji wakanunue magari na kuishi maisha ya anasa wakati kuna mamilioni ya wahitaji.
Navyojua mm ni kwamba Waislam huzingatia sana Utaratibu. Kinachotokea huku ni kwamba kila anayekuja hupewa bila kuangalia kwamba ni muhitaji kweli au ni kati ya wale wanaochukua halafu wanaenda kuuza. Utoaji wa sadaka bila Malengo na Utaratibu kunawlemaza wanaJamii mahalia kwani watabweteka na kuzembea kutafuta Riziki na mali kwani "Wapo wenye navyo" wanagawa bure. Je jambo hilo ni endelevu?
 
Nyama za sadaka hizo, zina mingi sasa, kwetu Pwani huku kila Ramadhan wanagawa viroba vya futari.

Nyama mara nyingi huwa siku ya Eid Al Haj.

Ramadhan mwishoni kabisa wanaleta mchele kabisa wa zakat fitr na nyama pia.

Sadaka hizo kijana.
Umejenga Kibaha Bibie,
 
Unakuta mtu anakariri na kufuata mkumbo tu kwa comment za wengine

Mwingine anakuambia eti zimeadimika siku hizi utafikiria kama aina ya kitu kilichoadimika
Sadaka ni wajib kutoa kwa kila mtu, ila hii ni wakati wa Eid kubwa wakati wa Hijja na watu huchinja
Kama unawaza mengine ni sawa tu
Sisi huku nilipo huwa natuma nchi yeyote ninayoona mimi iwe Somalia, Afghanistan, Iraq au hata tz
Na hela hizo sadaka zinafika sio kama sadaka zingine zinazomtajirisha mtu mmoja mmoja au kundi moja
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Muelekeze hapo akipanda gari ashuke mizani ya zamani kibaha konda yoyote ukimuambia nishushe hospitali ya macho wanajuwa kituo.

Ukishuka bodaboda buku tu, ukifika hapo hospitali registration na vipimo haizidi elfu 20, ukikutwa una cataract mtoto wa jicho unapewa appointment siku ya kuja kulazwa na kufanyiwa surgery bure gharama zinalipiwa na wafadhili, chakula bure na miwani bure na dawa bure.

Daktari Umbaro ni daktari bingwa wa Macho ametokea Ndanda mission kwa Wajerumani kwahiyo wana daktari bingwa wa kuaminika.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom