Nipeni masaa saba tu niko ndani ya mnyama Ford Ranger (Mwanza - Dar)

Let us assume your approximations and math are correct.

1100km / 135kmph = 8.5hrs

Atahitaji masaa 8 na nusu.

Claim yake ni masaa 7. Unaweza kweli ukaadjust mahesabu yako ukaondoa lisaa lizima na dakika 30 hapo?
Hata mimi nilikurupuka kusema anaweza kimakosa...
Hapo kwa 7hrs si rahisi.
Hata kama angekuwa na Range Rover Sport...
 
Mkuu wangu samahan sikujibu comment zako sababu ya muda alafu nilikuwa naendesha nisamehe sana

Japo hata hivyo sikufika dar ilibidi nilale moro
Sawa mkuu ila mimi nilitoboa na leo saa kumi na mbili nageuza.
 

Mpe Mungu naye sehemu yake! Muombe ufike salama, maana ford ranger, speed au chochote ni sehemu ya muhimu, ila Mungu ndiyo kula!

Ukishakaa kwenye ford ranger mwombe Mungu ufike salama!
 
Acha usanii!Igoma hatuna hiyo gari na haijawai onekana nyumba yeyote.Nipo Ndama hapa!
Siku moja nimo kwenye daladala ile tunakaribia maeneo hayo dereve akamwambia kondakta wake,"Uliza kama ndama wamo?" Kondakta akauliza,:Ndama mpo?" Abiria walikasirika sana
 
Juzi Nimetoka Dar-Kurasini saa 1 kamili jioni,
Nimefika Mwanza-Nyakato saa 10 na nusu alfajiri.
Nilikuwa natumia gari aina ya Nissan Xtrail.
 


Picha tafadhali na umemuazima nani?
 
CHai......jamaa hana hata IST........mnasumbuka bure...ndiyo maana hawezi hata kutupia picha halisi humu.....ni kawaida mtu akiwa na stress kuongelea ndoto zake ile apate unafuu
 
Mpe Mungu naye sehemu yake! Muombe ufike salama, maana ford ranger, speed au chochote ni sehemu ya muhimu, ila Mungu ndiyo kula!

Ukishakaa kwenye ford ranger mwombe Mungu ufike salama!
Hana hiyo gari .....mnajaza seva za JF tu
 
Umeshakunywa chai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…