Nipeni masaa saba tu niko ndani ya mnyama Ford Ranger (Mwanza - Dar)

Kanyaga wese mkuu. Mara ya mwisho kuja Mwanza niliondoka Dar asubuhi nikalala Arusha. Asubuhi nikakatiza mbugani na majira ya Adhuhuri nikaingia Mwanza.

Safari ilikuwa nzuri sana..
 
Hakuna feedback mpk sasa kashajifia huko porini
 
Uzoefu wa barabara ndio unao mata hapa mkuu me nisha ingia Dar es Salaam tangu saa saba usiku vp yeye yuko wapi?
 
Jana nilikwambia njoo Tivoli hapa Beira Boy muzeye ya igoma tukupe baraka na wese lita100 sie Wana timu Ford tukupe mbinu za kutumia cruzi ona Sasa mafuta yamekata Moro unaanza kulia Lia unatuangusha
 
saa nne kamili Dodoma saa sita Morogoro so umetembea masaa mawili mbona kama kunaukakasi 😵
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…