Nipeni mbinu za kumuacha huyu mrembo

Lamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....

Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
😂😂😂😂Nmecheka kinoma sa mwamba Equation x unaanzaje kumwambia hili kwamba wewe unageuzwa
Lamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....

Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
 
Mpe namba yangu au nipe yake chap nikuondolee tatizo, shida haujiongezi au umekuta ulimi umeondolewa , kwa wakubwa tu hii code
 
Kama ulivyosema kuwa anakuja kwako bila taarifa kufumania na hajabahatka kukudaka pia kwake wenda ni hvyo hvyo ingawa we huwez mfatlia kias hiko alafu kuhusu suala la kwamba umuombe hela ili mwisho wa sku akukimbie huyo ni mwanamke unaweza kumuomba nae akaomba kwingne na akakupa vzr tu hata bila wasiwasi mdada anaweza kukutengenezea mazingra hadi we mwenyewe ukakaa kwa kutulia la kufanya hapo mpende tu kama ulivyokuwa zaman na endelea kuyafkria yale uliyokuwa ukifkiria siku za mwanza kabla hajapunguza sarakas mfike mnakotaka kufika acha mawazo ya kumkimbia mtoto wa watu


#N.B kuhusu mtego wako huo achana nao hela ukitaka utapewa vzr tu akikuamlia
 
Weka picha nikupe hela uniachie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…