Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Nilishazeeka nyakati hizi, natakiwa nipumzishe kitendea kazi 😀Endelea kumkaza usije ukakosa pa kuhemea siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishazeeka nyakati hizi, natakiwa nipumzishe kitendea kazi 😀Endelea kumkaza usije ukakosa pa kuhemea siku
Hilo limeishaNakutumia, muhimu ujue kumtunza tu
We labda ukifaNilishazeeka nyakati hizi, natakiwa nipumzishe kitendea kazi 😀
Watu wa kale wanasema, uzee unakuja na busaraWe labda ukifa
😂😂😂😂Nmecheka kinoma sa mwamba Equation x unaanzaje kumwambia hili kwamba wewe unageuzwaLamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....
Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
Lamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....
Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
😀 😀 😀 huyo jamaa ni wale wa upinde😂😂😂😂Nmecheka kinoma sa mwamba Equation x unaanzaje kumwambia hili kwamba wewe unageuzwa
🤣🤣 I can't imagine how you can introduce yourself , then unfortunately unakuta alikurekodi alafu akamtumia ndugu yako 😂😀 😀 😀 huyo jamaa ni wale wa upinde
[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1787][emoji1787]Kuna dada angu mcharuko nikupe namba yake aje na mimba kbsa
Daahh, Vavulensi hii...Leta namba yake nimtongoze alafu ww ukakamate sms iwe sababu mbali na hapo jifunze kusoma alama za nyakati alikupa sarakasi akiamini unajiweza on bed ila ndo hivyo akaona anajichosha na hakuna kitu
Upinde upi mkuu,sijakuelewa?😀 😀 😀 huyo jamaa ni wale wa upinde
Mpe namba yangu au nipe yake chap nikuondolee tatizo, shida haujiongezi au umekuta ulimi umeondolewa , kwa wakubwa tu hii codeHivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba.
Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale nilinyoosha mikono juu.
Nikajua kila siku mambo yatakuwa hivyo (sarakasi za kutosha); siku zilivyozidi kusonga mbele zile sarakasi zikawa hazipo tena; akawa anajiweka tu ubavu au kifo cha mende, kazi inakuwa imeisha.
Nilivyomsoma kisaikolojia, ni kweli ananipenda na anajitahidi sana kunipigia pigia simu kila mara kuniuliza nipo wapi, nafanya nini n.k
Changamoto nyingine, anaweza akaja nyumbani muda wowote kwa kunishtukiza, ili aweze kupata fumanizi; nashukuru muumba sijawahi kukamatika.
Sasa, mimi nataka niachane naye; nataka nitumie mbinu ya kuwa namuomba hela ili aweze kunikimbia.
Sasa wakuu, hiyo itafanikiwa? Na kama haitafanikiwa nipeni mbinu nyingine mbadala.
Kwa sababu nimejaribu kuweka vikwazo vya kiuchumi, naona bado anavumilia tu, simpigii simu lakini bado yeye ananipigia.
Nisaidieni wakuu.
Hii kaliLamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....
Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
Weka picha nikupe hela uniachieHivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba.
Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale nilinyoosha mikono juu.
Nikajua kila siku mambo yatakuwa hivyo (sarakasi za kutosha); siku zilivyozidi kusonga mbele zile sarakasi zikawa hazipo tena; akawa anajiweka tu ubavu au kifo cha mende, kazi inakuwa imeisha.
Nilivyomsoma kisaikolojia, ni kweli ananipenda na anajitahidi sana kunipigia pigia simu kila mara kuniuliza nipo wapi, nafanya nini n.k
Changamoto nyingine, anaweza akaja nyumbani muda wowote kwa kunishtukiza, ili aweze kupata fumanizi; nashukuru muumba sijawahi kukamatika.
Sasa, mimi nataka niachane naye; nataka nitumie mbinu ya kuwa namuomba hela ili aweze kunikimbia.
Sasa wakuu, hiyo itafanikiwa? Na kama haitafanikiwa nipeni mbinu nyingine mbadala.
Kwa sababu nimejaribu kuweka vikwazo vya kiuchumi, naona bado anavumilia tu, simpigii simu lakini bado yeye ananipigia.
Nisaidieni wakuu.
Maelezo yako yana mashaka inawezekanaje una mke halafu hawara aje kukutembelea nyumbani ili akufumanie na mkeo.Ukaribu wake, unaweza kuja kunivunjia ndoa; amekuwa na hisia kali sana kuliko ata mama watoto wangu