Kumbe hii type ipoMimi bora nimuambie tu tuachane kuliko kumuomba hela mwanamke yani siwezi kabisa naona kama atanidharau sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hii type ipoMimi bora nimuambie tu tuachane kuliko kumuomba hela mwanamke yani siwezi kabisa naona kama atanidharau sana.
Lamuhanga limekuganda na utapuyanga sana,hakuna madem ving`ang'anizi kama wenye asili ya kisomali.....
Ushauri:mwambie kwamba wewe ni punga(shoga)..atakuacha yeye mwenyewe
Mkuu kumbe wazo unalo sasa kwanini usiliweke kwenye utekelezaji alafu ukishindwa njia hiyo ndio uje hapa?Nikiwa nalia lia shida kila siku, atajiongeza na kuniacha
Mkuu kumbe wazo unalo sasa kwanini usiliweke kwenye utekelezaji alafu ukishindwa njia hiyo ndio uje hapa?
Kuna wadau wamekuomba namna ya simu hapo wakusaidie😂😂
Usicheke, nipe ushauri🤣🤣🤣Hapo kwanza Ncheke..
Nitawapatia 😀😀Kuna wadau wamekuomba namna ya simu hapo wakusaidie😂😂
Ila baadae usije kujilaumu baada ya kuikumbuka mibinuko uliyokuwa ukipewa na msomali ohooo🤣🤣Nitawapatia 😀😀
Zaidi ya hiyo, aniachii nafasi ya kupumua, ameshanitambulisha kwa watu wake wa karibu hadi inakuwa kero
Sasa umeoa afu unatongoza mademu, hapo mbona utaishi maisha magumu.Zaidi ya hiyo, aniachii nafasi ya kupumua, ameshanitambulisha kwa watu wake wa karibu hadi inakuwa kero
Huyo ndo zake. Na ndoa yake ana pisi kama 10 za kuchangamsha damuSasa umeoa afu unatongoza mademu, hapo mbona utaishi maisha magumu.
Kwanini umdanganye,wewe mwite na mwambie sababu za kweli ambazo umezishindwa,uongo hauna faidaHivi karibuni, nilikutana na mrembo mmoja ana asili ya kisomali, ila yeye ana mwili jumba.
Baada ya kurusha ndoano, mtoto akanasa, tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Siku ya kwanza nakutana naye sita kwa sita, ilikuwa ni shoo hatari; kiufupi nilikuwa sijawai kupewa baadhi ya sarakasi, ila pale nilinyoosha mikono juu.
Nikajua kila siku mambo yatakuwa hivyo (sarakasi za kutosha); siku zilivyozidi kusonga mbele zile sarakasi zikawa hazipo tena; akawa anajiweka tu ubavu au kifo cha mende, kazi inakuwa imeisha.
Nilivyomsoma kisaikolojia, ni kweli ananipenda na anajitahidi sana kunipigia pigia simu kila mara kuniuliza nipo wapi, nafanya nini n.k
Changamoto nyingine, anaweza akaja nyumbani muda wowote kwa kunishtukiza, ili aweze kupata fumanizi; nashukuru muumba sijawahi kukamatika.
Sasa, mimi nataka niachane naye; nataka nitumie mbinu ya kuwa namuomba hela ili aweze kunikimbia.
Sasa wakuu, hiyo itafanikiwa? Na kama haitafanikiwa nipeni mbinu nyingine mbadala.
Kwa sababu nimejaribu kuweka vikwazo vya kiuchumi, naona bado anavumilia tu, simpigii simu lakini bado yeye ananipigia.
Nisaidieni wakuu.
Unachekesha Sasa.Usicheke, nipe ushauri
Mh. Maisha ya ajabu sana, unakuwa huna hata amani, kila saa unawaza utafumaniwa, unakuwa unaishi kama digidigi.Huyo ndo zake. Na ndoa yake ana pisi kama 10 za kuchangamsha damu
Class mate Wangu upoKuna dada angu mcharuko nikupe namba yake aje na mimba kbsa
Unitumie na mimi pia ili tuwe wawili aiseeNamba nakutumia